Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Suala la kushusha riba nchi hii linaonekana kufanyika kutokana na maagizo ya wanasiasa (liko kisiasa) na si Benki Kuu kama wataalamu kushauri au kushusha riba kwa mabenki ili nayo yashushe riba kwa wananchi.
Kwa mfano, leo Mama kaagiza Benki Kuu kuhakikisha mabenki yanashusha riba kufika chini ya asilimia 10 (jambo jema na la kupongeza).
Swali langu ni je, Benki Kuu kama wataalamu, huwa hawaoni umuhimu wa kushusha riba mpaka waagizwe na wanasiasa?
Katika hili, si BOT kama wataalamu ndio wa kushauri wanasiasa waridhie BoT kushusha riba kama BoT hawana mamlaka hayo mpaka wapete idhini ya watawala?
Kama tatizo ni sherai na taratibu, je hatuoni sheria na taratibu hizo zinastahili kufanyiwa marekebisho?
Mambo ya ajabu sana haya!
Kwa mfano, leo Mama kaagiza Benki Kuu kuhakikisha mabenki yanashusha riba kufika chini ya asilimia 10 (jambo jema na la kupongeza).
Swali langu ni je, Benki Kuu kama wataalamu, huwa hawaoni umuhimu wa kushusha riba mpaka waagizwe na wanasiasa?
Katika hili, si BOT kama wataalamu ndio wa kushauri wanasiasa waridhie BoT kushusha riba kama BoT hawana mamlaka hayo mpaka wapete idhini ya watawala?
Kama tatizo ni sherai na taratibu, je hatuoni sheria na taratibu hizo zinastahili kufanyiwa marekebisho?
Mambo ya ajabu sana haya!