BOT kushusha riba za mikopo ni mpaka waagizwe ili hali wao ndio wataalam wa kushauri zishuke?

BOT kushusha riba za mikopo ni mpaka waagizwe ili hali wao ndio wataalam wa kushauri zishuke?

Inflation haiwezi kutokea kama interest rate ni ndogo. Pia thamani ya pesa haitashuka. Interest rate ikiwa kubwa, shida ndiyo huanzia hapo.
Interest rate ikiwa ndogo credit creation inakuwa kubwa so wafanyabiashara wanakua na mitaji mingi na wanakopa sana maana debt servicing ni cheaper. Sasa pesa wakiwa nayo kuna multiplier effect mfano kuajiri zaidi, kupandisha mishahara, kutanua wigo wa biashara n.k mwisho wa siku currency in circulation inaongezeka. Kwahiyo obviously ndani ya muda fulani kutakuwepo na mfumuko wa bei!!
Interest rate zikiwa juu inaogopesha watu kukopa so uchumi una contract hivo kupunguza pesa kwenye mzunguko which in turn inashusha inflation kama enzi za JPM. Watu walimsifia kushusha inflation but walisahau kwamba pesa haikuwepo mtaani!!
 
Interest rate ikiwa ndogo credit creation inakuwa kubwa so wafanyabiashara wanakua na mitaji mingi na wanakopa sana maana debt servicing ni cheaper. Sasa pesa wakiwa nayo kuna multiplier effect mfano kuajiri zaidi, kupandisha mishahara, kutanua wigo wa biashara n.k mwisho wa siku currency in circulation inaongezeka. Kwahiyo obviously ndani ya muda fulani kutakuwepo na mfumuko wa bei!!
Interest rate zikiwa juu inaogopesha watu kukopa so uchumi una contract hivo kupunguza pesa kwenye mzunguko which in turn inashusha inflation kama enzi za JPM. Watu walimsifia kushusha inflation but walisahau kwamba pesa haikuwepo mtaani!!

Yes hapo ni kucheza na monetory na fiscal policy. Kweli in long term, inflation itaonekana. So here the thing to do is to adjust those policies.
 
Maagizo ambayo hayana tija. Watu wafanye kazi halali na kulipa kodi stahiki, inflation na interest rates zitaji-adjust accordingly. Hakuna pesa za bure popote ulimwenguni, wananchi wahimizwe kufanya kazi halali na sio kukimbilia utajiri wa haraka haraka bila kufanya kazi halali na kipato stahiki. The cake is big enough for everybody.
 
Hatuna wataalamu kwa kweli bali ni wasubiria mshahara tu
Mambo yote lazima Rais alisemee au kelele za wananchi ila wao kujiongeza hawataki na sio kwamba hawajui

Yaani mpaka wanashauriwa kununua dhahabu na kuweka Bank kuu wakati hilo linajulikana duniani kote na Reserve ya Taifa ni muhimu ila mpaka wanapewa ushauri na Rais

Kuna nchi nyingi hawachimbi dhahabu bali wana akiba kubwa ya dhahabu
 
Suala la kushusha riba nchi hii linaonekana kufanyika kutokana na maagizo ya wanasiasa (liko kisiasa) na si Benki Kuu kama wataalamu kushauri au kushusha riba kwa mabenki ili nayo yashushe riba kwa wananchi.

Kwa mfano, leo Mama kaagiza Benki Kuu kuhakikisha mabenki yanashusha riba kufika chini ya asilimia 10 (jambo jema na la kupongeza).

Swali langu ni je, Benki Kuu kama wataalamu, huwa hawaoni umuhimu wa kushusha riba mpaka waagizwe na wanasiasa?

Katika hili, si BOT kama wataalamu ndio wa kushauri wanasiasa waridhie BoT kushusha riba kama BoT hawana mamlaka hayo mpaka wapete idhini ya watawala?

Kama tatizo ni sherai na taratibu, je hatuoni sheria na taratibu hizo zinastahili kufanyiwa marekebisho?

Mambo ya ajabu sana haya!
"Mimi ukinishauri ndo unaharibu kabisa"-Mwendazake
Binafsi sioni njia yoyote ya BOT kufanya maamuzi ya kiweledi wakati watawala wanaiingilia na kuinyima uhuru-Wakati mwingine riba zinakuwa kubwa sababu ya sera zisizotabirika na sheria kandamiz zinazopitishwa na bunge
 
Walipunguza ila je katika wakati huo hawakuuza hati fungani? Au hawakupandisha reserve ratio? Hawakupunguza currency in circulation? Vipi broad money (Forex Inclusive) haikupungua kwa wakati huo? Factor moja tu haipelekei inflation. Kma vitu vyote vikiwa constant afu ukashusha tu bank rate obviously italeta inflation long term sababu ukwasi utazidi hivyo currency in circulation itaongezeka... Hizo spillover effects zake zitaleta mfumuko wa bei tu sababu mzunguko utaongezeka kwa mkupuo. Ila ukiona wameshusha rate alafu hakuna mfumuko wa bei ujue tu monetary policy tools zingine bado zimeminywa ila wanaziachia taratibu taratibu

Sijui kwanin watu wa Taifa hili wanawaza inflation na kuiogopa kuliko kuwaza maendeleo ya watu

Je kuna madhara yeyote ikiwa $1 = 5000/- lakini watu wote kwenye taifa tuna uchumi mzuri na kuweza kununua tuvitakavyo ? Mm siasa za inflation zisipendi napenda watu wawe na maisha mazuri basi , shusha riba watu wakope wafanye kazi ,pesa mtaani ijae watu wale bata wawezavyo hata kama dollar moja ni laki moja
 
Sijui kwanin watu wa Taifa hili wanawaza inflation na kuiogopa kuliko kuwaza maendeleo ya watu

Je kuna madhara yeyote ikiwa $1 = 5000/- lakini watu wote kwenye taifa tuna uchumi mzuri na kuweza kununua tuvitakavyo ? Mm siasa za inflation zisipendi napenda watu wawe na maisha mazuri basi , shusha riba watu wakope wafanye kazi ,pesa mtaani ijae watu wale bata wawezavyo hata kama dollar moja ni laki moja
Ukiwa unajua principles za uchumi zinavyofanya kazi wala haitokuchukuwa muda kujua effect ya inflation kwenye purchasing power.Value ya TZS ikiwa inapo poromoka elewa kwamba inaathiri uchumi wa taifa zima hasa ukizingatia kwamba sisi tuna import kuliko ku export.
 
Nadhani hujui kuwa BOT haipunguzi riba za commercial banks kwa kuwaamrisha, bali wanawashauri tu kupunguza riba kwa kuwapa incentives fulani, fulani. Riba za Commercial banks zinajengewa na vitu vingi kuanzia, riba wanazotozwa kuchukua pesa BOT, risk, n.k.

Sasa utauliza kwanini BOT wasishushe riba wanazotoza Commercial banks ili riba ziwe ndogo?

So far BOT imekuwa ikishusha Centra Bank rate (CBR), ili kuwapunguzia gharama banks ila riba bado zimebaki kuwa juu, hii ina maana kuwa kuna factors nyingine nje ya CBR ambazo zinafanya riba zibaki juu, kwa uelewa wangu mdogo hizo factor nyingine ni pamoja na risk za kumkopesha mtanzania.

Imagine bank wamkopeshe mmachinga ambaye kwanza biashara yake haina permanent address, makazi yake rasmi hayajulikani na vitu vingi vinavyoenda na hivyo, so ili kuhedge against hizi risk lazima wakupenalize riba kubwa incase ukishindwa kulipa wawe wamepata hela yao kidogo.
 
Sijui kwanin watu wa Taifa hili wanawaza inflation na kuiogopa kuliko kuwaza maendeleo ya watu

Je kuna madhara yeyote ikiwa $1 = 5000/- lakini watu wote kwenye taifa tuna uchumi mzuri na kuweza kununua tuvitakavyo ? Mm siasa za inflation zisipendi napenda watu wawe na maisha mazuri basi , shusha riba watu wakope wafanye kazi ,pesa mtaani ijae watu wale bata wawezavyo hata kama dollar moja ni laki moja
Ukizungumzia inflation jua kuwa unaongelea penalty kwenye kiasi cha pesa unayomiliki, inflation ikiwa 10% inamaanisha pesa yako purchasing power inakuwa deducted by 10%,

So ukisema $1=5000 Tzs hizo hela utakuwa unanunulia vitu gani?? [emoji28][emoji28]. Yaani unahitajika kuwa na hela za kiTz nyingi ili uweze kununua bidhaa za kigeni kidogo, Mind you kwamba Tz sio Kisiwa kwamba ipo self sufficient, still bado tunanunua vitu na bidhaa nyingi nje ya nchi so exchange rate matters.
 
Ukizungumzia inflation jua kuwa unaongelea penalty kwenye kiasi cha pesa unayomiliki, inflation ikiwa 10% inamaanisha pesa yako purchasing power inakuwa deducted by 10%,

So ukisema $1=5000 Tzs hizo hela utakuwa unanunulia vitu gani?? [emoji28][emoji28]. Yaani unahitajika kuwa na hela za kiTz nyingi ili uweze kununua bidhaa za kigeni kidogo, Mind you kwamba Tz sio Kisiwa kwamba ipo self sufficient, still bado tunanunua vitu na bidhaa nyingi nje ya nchi so exchange rate matters.
But mkuu kuna nchi zinashusha thamani ya hela maksudi kabisa ila uchumi hautetereki wala hawapati shida za "kuwa na hela nyingi kununua bidhaa kidogo". Je una maoni gani juu ya hilo
 
Suala la kushusha riba nchi hii linaonekana kufanyika kutokana na maagizo ya wanasiasa (liko kisiasa) na si Benki Kuu kama wataalamu kushauri au kushusha riba kwa mabenki ili nayo yashushe riba kwa wananchi.

Kwa mfano, leo Mama kaagiza Benki Kuu kuhakikisha mabenki yanashusha riba kufika chini ya asilimia 10 (jambo jema na la kupongeza).

Swali langu ni je, Benki Kuu kama wataalamu, huwa hawaoni umuhimu wa kushusha riba mpaka waagizwe na wanasiasa?

Katika hili, si BOT kama wataalamu ndio wa kushauri wanasiasa waridhie BoT kushusha riba kama BoT hawana mamlaka hayo mpaka wapete idhini ya watawala?

Kama tatizo ni sherai na taratibu, je hatuoni sheria na taratibu hizo zinastahili kufanyiwa marekebisho?

Mambo ya ajabu sana haya!
Samia ni wajibu wake katika hili sifa ziwe za matokeo chanya, hili la riba lifanyike haraka sana mikopo yote riba zishuke uchumi wa watz upande. Benki zishushe riba tuinue uchumi kazi iendelee.
 
uarabuni hakuna mambo ya interest!
Islamic Banking ina Riba sema haionekani kwa nje na haiitwi Riba. Unairudisha kma zawadi/gawio hivi lakini ile interest rate is pre determined kiuhalisia.

Bila interest unadhani islamic banking ni sustainable? Kuanzia Mudarabah, Musharakah,Murabah,Ijar zote hizo benki ina pata faida.

Kiufupi ni ujanja ujanja tu
 
But mkuu kuna nchi zinashusha thamani ya hela maksudi kabisa ila uchumi hautetereki wala hawapati shida za "kuwa na hela nyingi kununua bidhaa kidogo". Je una maoni gani juu ya hilo
Hii inategemea mambo yafuatayo-
* Nchi ikiwa ina export zaid nje,mara nyingi hupenda ku devalue thaman ya pesa yake ili bidhaa zake ziweze kuwa cheap na ili waweze kupata mauzo makubwa na ku boost uchumi wake wa ndani (Ingawa hii huitwa unfair advantage according to WTO)
Mf.China amekuwa akishusha na kumaintain thaman ya currency yake dhidi ya dollar kwa muda mrefu ili bidhaa zake ziweze kuuzwa sana nje- Hivyo kutokana na unfair advantage anayoipata China, US aliamua kuweka tarrifs kwa bidhaa za china zinazoingia US kama adhabu na hivyo kuzifanya kuwa expensive.
Changamoto kubwa ya kushusha thaman ya pesa pasipo kuamuliwa na nguvu ya soko ni kwamba inapunguza imani ya pesa husika kwa watumiaji.Mfano-Ni rahisi sana mtu kuwekeza pesa zake kwenye USD kuliko kwenye sarafu ya Yuan ya china-hii ni kutokana na stabibility ya hela ya kimarekani.Hela ya mchina haina tofauti na bei ya mahindi tandale manake unaweza kuinunua leo kwa 5'000 kesho ukaamka na kukuta thamani yake ni 2'000 hivyo investors kupata total loss.Hakuna investor mwenye akili timamu atachagua Yuan instead of dollar manake huwa wanapenda assurance ya usalama wa wanachowekeza.
 
Back
Top Bottom