March 19, 2020
Mahojiano Live: Coronavirus: Tanzania latest
Taarifa sahihi ya serikali kwa umma
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile azungumzia Covid-19 (coronavirus)
Naibu Waziri ambaye kitaaluma ni mtabibu aliyehitimu masomo ya udaktari wa binadamu katika vyuo vikuu vya Muhimbili MUCHS Tanzania na ngazi ya masters huko Afrika ya Kusini leo kwa faida ya umma anazungumza na Ayo TV.
Mahojiano Live: Coronavirus: Tanzania latest
Taarifa sahihi ya serikali kwa umma
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile azungumzia Covid-19 (coronavirus)
Naibu Waziri ambaye kitaaluma ni mtabibu aliyehitimu masomo ya udaktari wa binadamu katika vyuo vikuu vya Muhimbili MUCHS Tanzania na ngazi ya masters huko Afrika ya Kusini leo kwa faida ya umma anazungumza na Ayo TV.