Wakati tunaendelea kupambana na Hili janga nimekuwa nikijiuliza kuhusu namna jinsi tunavyobadilishana Fedha!
Nakumbuka awali kabisaa Gavana wa BOT alielezs kuwa noti haziwezi kubeba virusi!
Hakuwahi kugusia sarafu!
Sijawahi tena kumsikia mtaalamu yoyote wa Afya akilizungumzia Hili!
Je tuendelee kuamini maneno ya Gavana wa BOT?
Vipi kuhusu Sarafu!?
Nakumbuka awali kabisaa Gavana wa BOT alielezs kuwa noti haziwezi kubeba virusi!
Hakuwahi kugusia sarafu!
Sijawahi tena kumsikia mtaalamu yoyote wa Afya akilizungumzia Hili!
Je tuendelee kuamini maneno ya Gavana wa BOT?
Vipi kuhusu Sarafu!?