Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Riba zao sio rafiki unapewa mkopo elfu 26 halafu baada ya wiki ulipe elfu 41 hii ni riba ya karibu 60%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwapaje namba za ndugu zako!!??hawa jamaa ni changamoto kwakweli nilikopa pesa juzi marejesho ilikuw leo asubuh lakin kutokana na hali ya hewa na nilipokuw ni changamoto kidogo!!! lakini wakawapigia ndugu zangu wote simu kuwa wananidai na ikiwa hata siku haijapita na msg zao juu!!! hawa jamaa hawana customer care nzurView attachment 2821916
hizi taasisi nijuavyo Mimi hazipo kisheria na km sikosei BOT walishatolea maelezo kuhusu hizi taasisi kipindi kile cha wale wakenya WA Tala. Kiufupi hazipo kisheria, wao wenyewe wanatumia ujinga wetu kujinufaisha. Zile SMS wanazokutumia na simu wanazopiga, wewe kausha tu usipokee simu zao, pakua app kopa hela wakikupa hela futa app acha kupokea simu hawatakupeleka popote Kwa sababu wanajua hawapo kisheria. Wao ni matapeli, chukueni pesa msirejeshe wataacha wenyewe kukopesha!
ukifa njaa ni wewe tuHizi app ziko nyingi sana aisee ukiamua kucheza nao hukosi 1m +
Maana kuna:
- PesaX
- M-Safi
- Zima Cash
- Twiga Loan
- Cash X
- OnePesa
- Mkopo haraka kwa dakika mbili
- BongoPesa
- FiniLoan
- SilkLoan
- MkopoFasta
- Ustawi Loan
- MkopoWako
- PesaM Loan
- Okoa Maisha
- Branch
Mtanzania aliponzwa na ujinga na upole wake. Kila kitu ni kuomba tu. Akiwekewa dole utasikia naomba mamlaka husika ije ilitoe!YAH: MALALAMIKO JUU YA TAASISI ZA MIKOPO MTANDAONIKama mnavyojua changamoto zipo kwa Kila mtu hasa upatikanaji wa fedha pale unapokuwa umepata shida ya ghafla yenye uhitaji wa pesa au changamoto kwenye Biashara, mara nyingi unatafuta sehemu kama kwa mtu binafsi au taasisi yoyote ya kifedha ili kupata hela na kutatua tatizo lako.
Kuna taasisi zinazo toa MIKOPO kupitia Mtandaoni ambazo unapakua Application kwenye simu yako kutoka kwa Google unaweka taarifa zako na wanakupa mkopo wa haraka. Sasa malalamiko yangu au pengine kwa niamba ya Watanzania wengine ni kama ifuatavyo;
1. Riba wanazotoza ni kubwa sana wakati wa kurejesha tofauti na maelezo ya hawali, yaani unaweza kuambiwa ukichukua 100,000 unarejesha 130,000 ndani ya wiki moja lakini wakati wa kurejesha unaambiwa rejesha 185,000, huu ni wizi wa hali juu.
2. Unaweza kurejesha hiyo hela lakini hawakufuti kwenye mifumo yao wataendelea kukusumbua wakidai haujalipa.
3. Taratibu za kumdai mteja siyo nzuri kwanza hawana customer care wanatunia kauli mbaya za udhalilishaji pamoja na matusi.
OMBI LANGU
1. Naomba nyinyi kama kama nyinyi wa habari tusaidie kwanza kujua kama hizi taasisi zinazotoa MIKOPO MTANDAONI zimesajiliwa na zinatoa MIKOPO kwa kufuata Sheria, kanuni na Taratibu.
2. Tusaidie kupaza sauti ili kama taasisi hizi zipo kihalali basi ziweke riba halisia ambayo mteja anaweza kumudu na isijekuwa kama ile MIKOPO tunayosika KAUSHA DAMU.
3. Waajiri Wafanyakazi wenye weredi na mafunzo ya huduma kwa mteja (Customer care)
Note: kwa ufuatiliaji naomba nizitaje chache;
1. SINGULARITY MICROFINANCE LTD - kwenye Mtandao (play store au app store wakitumia "Mkopo wako"
2. TEMERIA MICROFINANCE LTD - kwenye mtandao (play store au app store wakitumia " Zima Cash"
Hizo ni chache lakini zipo nyingi sana
Tunaomba Beki Kuu ya Tanzania (BOT), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na taasisi zinazo husika kufuatilia na ikiwezekana kutoa muongozi kama taasisi hizo za kukopesha zinalipa kodi na masharti yao yameridhiwa na mamlaka husika.
Sasa kama wanakutukana wewe kwa nini ulipe? Umeweka dhamana? Huku chukueni mikopo mikubwa kadiri mnavyoweza halafu acheni kulipa.Unajaza namba wa wadhamini wakati kujisajiri. ndugu, rafiki, mfanyakazi mwenzako n.k hao ndio watatafutwa usipolipa kwa wakati
Leta menuKuna moja ipo kwenye Mpesa inaitwa mgodi walinikopesha elfu 50,riba ni 10k.yaani nilipokea 40 nikajalipa 50
Leta menu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ukifa njaa ni wewe tu
Eehh!!hawa jamaa ni changamoto kwakweli nilikopa pesa juzi marejesho ilikuw leo asubuh lakin kutokana na hali ya hewa na nilipokuw ni changamoto kidogo!!! lakini wakawapigia ndugu zangu wote simu kuwa wananidai na ikiwa hata siku haijapita na msg zao juu!!! hawa jamaa hawana customer care nzurView attachment 2821916
Kipanya alishasemaTunaomba Beki Kuu ya Tanzania (BOT), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na taasisi zinazo husika kufuatilia na ikiwezekana kutoa muongozi kama taasisi hizo za kukopesha zinalipa kodi na masharti yao yameridhiwa na mamlaka husika.