DOKEZO BoT, TCRA na TRA hivi hizi Taasisi za Mikopo ya Online zipo Kisheria na zinalipa kodi?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hizi taasisi nijuavyo Mimi hazipo kisheria na km sikosei BOT walishatolea maelezo kuhusu hizi taasisi kipindi kile cha wale wakenya WA Tala. Kiufupi hazipo kisheria, wao wenyewe wanatumia ujinga wetu kujinufaisha. Zile SMS wanazokutumia na simu wanazopiga, wewe kausha tu usipokee simu zao, pakua app kopa hela wakikupa hela futa app acha kupokea simu hawatakupeleka popote Kwa sababu wanajua hawapo kisheria. Wao ni matapeli, chukueni pesa msirejeshe wataacha wenyewe kukopesha!
 
Uliwapaje namba za ndugu zako!!??
 

Kwa kweli kabisa
 
Mtanzania aliponzwa na ujinga na upole wake. Kila kitu ni kuomba tu. Akiwekewa dole utasikia naomba mamlaka husika ije ilitoe!
 
Walipe kodi wapi wao wanataka wanaotangaza biashara mtandaoni walipe kodi ila wanaokopesha fedha mtandaoni kwa riba kubwa hawachukui kodi mpaka unaona hao Songesha sijui Mpawa wapo nyuma ya hawa watu...
 
Tunaomba Beki Kuu ya Tanzania (BOT), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na taasisi zinazo husika kufuatilia na ikiwezekana kutoa muongozi kama taasisi hizo za kukopesha zinalipa kodi na masharti yao yameridhiwa na mamlaka husika.
Kipanya alishasema
"Ili mwanasiasa apate umaarufu lazima atengeneze tatizo kisha aliondoe ili ashangiliwe kuwa ni mbunifu" ukisoma hali ya hewa utagundua kuna mwanasiasa anaandaliwa pongezi shangwe na nderemo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…