BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

Attachments

  • Screenshot_20220925-125217.png
    Screenshot_20220925-125217.png
    42.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220925-122506.png
    Screenshot_20220925-122506.png
    243.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220925-124404.png
    Screenshot_20220925-124404.png
    32.2 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220925-124436.png
    Screenshot_20220925-124436.png
    108.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220925-124554.png
    Screenshot_20220925-124554.png
    61.4 KB · Views: 8
Recession ni growth below zero au negative growth na contraction ni increase at decreasing rate.
Kwa ivyo uchumi unaweza kuwa wakati upo kwenye contraction? Dah.

Ngoja nikusaidie ‘contraction’ ni kushuka kwa uchumi ndani ya muda mfupi. Hali hiyo ikiendelea kwa muda mrefu ndio wanaita recession.

Hakikisha unau ufahamu wa vitu unavyojadili hiyo ni elementary economics tu.
 
Hivi aliyewadanganga kwamba inflation manake Hali ya uchumi itakuwa mbaya ni nani?

Turkey ina inflation 70% na Uchumi unakua kwa 9% ,unaweza niambai kwa Nini?

Inflation ni mbaya kwenye Nchi ambazo zimeendelea Sana kwamba Ili u employ new resources unatakiwa kubadili teknolojia ila sio kwenye Nchi zetu hizi zinazoendelea ambazo zina idele resources nyingi..

Kwenye Nchi zetu hizi tunahitaji inflation isiyozodi 10% Ili kukuza Uchumi..

Nakupa mfano mdogo hivi mkulima anayeuza mkungu 40,000 kutoka 3,000 ameongeza mapato/purchasing power au amepunguza?
Mkuu Sunk wala usi- personalise mambo, lengo ni wananchi wote tufaidike.

Uchumi una principle zake. Na hauhitaji blah blah.

Mfano, Unawezaje kusema uchumi unakua kwa 6% wakati ajira zinafungwa kila kukicha, makampuni makubwa yanafunga biashara, wananchi wanapunguza matumizi kwa sababu ya ughali wa maisha, makusanyo ya serikali yanapungua, uzalishaji wa viwandani unapungua? Utawezaje kusema confidently uchumi unakua mbele ya mtu timamu?

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa PROXY indicators, hii hutumika sana hasa wakati ambao kupata data kamili ya kitu fulani unakuwa mgumu.
●Mfano Mimi naweza nisijue exactly kama kipato na hali bora ya maisha ya Extrovert yamebadilika, ila nachoweza kufanya ni kutumia proxy ways kwa kuangalia-
-Zamani alikuwa anaendesha bito leo anaendesha Range.
-Au alikuwa analala kwenye chumba kimoja leo yupo kwenye mansion nk.

*Je, unafikiri ukubwa wa inflation unafanya watu watumia zaidi?
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

Kwa mujibu wa Gavana wa BOT Prof. Luaga, uhumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 5.4% kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022 kinyume na malengo ya matarajio yaliwekwa ya ukuaji wa asilimia 4.7%.

Moja ya sekta zilizochangia ukuaji mkubwa ni kuimarika kwa sekta ya utalii.

Kwa mwendo huu "The future is bright na nchi iko kwenye right track", in Jiwe's voice.

Kongole nyingi sana kwa Rais Samia na Waziri wa Fedha Comrede Mwigulu.👇View attachment 2367489View attachment 2367490

Uchumi unaokua kwenye makaratasi zaidi, akiingia rais mwingine sasa hivi usishangae akisema uchumi unakua kwa 3%. Hizi figure zenye mitazamo ya kusaka political millage ni shida.
 
Mkuu Sunk wala usi- personalise mambo, lengo ni wananchi wote tufaidike.

Uchumi una principle zake. Na hauhitaji blah blah.

Mfano, Unawezaje kusema uchumi unakua kwa 6% wakati ajira zinafungwa kila kukicha, makampuni makubwa yanafunga biashara, wananchi wanapunguza matumizi kwa sababu ya ughali wa maisha, makusanyo ya serikali yanapungua, uzalishaji wa viwandani unapungua? Utawezaje kusema confidently uchumi unakua mbele ya mtu timamu?

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa PROXY indicators, hii hutumika sana hasa wakati ambao kupata data kamili ya kitu fulani unakuwa mgumu.
●Mfano Mimi naweza nisijue exactly kama kipato na hali bora ya maisha ya Extrovert yamebadilika, ila nachoweza kufanya ni kutumia proxy ways kwa kuangalia-
-Zamani alikuwa anaendesha bito leo anaendesha Range.
-Au alikuwa analala kwenye chumba kimoja leo yupo kwenye mansion nk.

*Je, unafikiri ukubwa wa inflation unafanya watu watumia zaidi?
Kwa kigezo cha ajira,hakuna wakati ambao Kuna ajira nyingi kama awamu hii kuanzia Serikalini hadi private sector na Wala hakuna zinakofungwa bali zinafunguka..

Hayo uliyoongea ni sawa na Wala usiangalie upande mmja tuu bali angalia kwa broader way..Mikopo Kwa sekta binafsi imekua,mabenki yamepata faida,ujenzi unaenda, serikali inapata pesa na inawekeza kwenye huduma na miradi mipya,Mauzo yanakua nk nk sasa kwa nini uchumi usikue ikiwemo wa mtu mmja mmja?

Mwisho Kwa case ya inflation ni kwamba ina pande mbili huwa inachochea production kama Bei ni nzuri na kama watu wanakuwa na uwezo wa kununua ila kama hawana hiyo inflation ndio inakuwa shida Kwa kupunguza disposable income..

But Kwa Nchi kama zetu hizi ambazo zina sehemu kubwa ya informal sector inflation ni kigezo kidogo Sana.
 
Umetoa wapi izo takwimu ndo sensa ya juzi maaana wamepiga mpaka June hujielewi wamefanya tasmini ya nyuma kuanzia hapo ,sasa leta za 2020 ndo uone ilo gap ndani wa mwaka mmoja.

Sibishani na mshamba!!
Hivi unajielewa kweli wewe? Unaelewa mada? Sensa inaingiaje hapa? Huijui tovuti ya NBS au?

Seems Ntakuwa na argue na mpumbavu
 
Kwa kigezo cha ajira,hakuna wakati ambao Kuna ajira nyingi kama awamu hii kuanzia Serikalini hadi private sector na Wala hakuna zinakofungwa bali zinafunguka..

Hayo uliyoongea ni sawa na Wala usiangalie upande mmja tuu bali angalia kwa broader way..Mikopo Kwa sekta binafsi imekua,mabenki yamepata faida,ujenzi unaenda, serikali inapata pesa na inawekeza kwenye huduma na miradi mipya,Mauzo yanakua nk nk sasa kwa nini uchumi usikue ikiwemo wa mtu mmja mmja?

Mwisho Kwa case ya inflation ni kwamba ina pande mbili huwa inachochea production kama Bei ni nzuri na kama watu wanakuwa na uwezo wa kununua ila kama hawana hiyo inflation ndio inakuwa shida Kwa kupunguza disposable income..

But Kwa Nchi kama zetu hizi ambazo zina sehemu kubwa ya informal sector inflation ni kigezo kidogo Sana.
Kuna hoja ulileta hapa kama sijakosea this week kuhusiana na kukosoa baadhi ya tozo, ambayo kibinafsi nilikubaliana nayo kimsingi.

Mengi yanapaswa kufanyika hasa ukizingatia watanzania wengi ni maskini, na kwendana na hoja yako ni kwamba
-Kuziacha baadhi ya tozo zinazoumiza maskini na kuwaondolea matajiri si sawa- Hii ilikuwa ni hoja yako bora kwa sababu kwa maono yangu, kumwachia mzigo mkubwa wa tozo mwanachi maskini ni kumpelekea zaidi kwenye kudumaa kiuchumi- na hii ndo hoja ambayo wengine wanaisisitiza hapa in other ways.
 
Huu mjadala utakuwa mzuri ikiwa tutapata baadhi ya ripoti za indicators kama-

  • Taarifa za ajira.
  • Taarifa za makusanyo.
  • Ukuaji wa Biashara.
  • Taarifa za uzalishaji.
  • FDI nk.
Siku tukipata data kamili na halali za ajira, tuhama nchi
 
Yaani bilioni 10 za nyonyo nituwe zimeongeza watalii laki mbili tu tuassume hao sio wale ambao wameamua kuja baada ya kupungua kwa athari za covid.
 
Yaani utoe hela kwenye mikono ya watu kupitia tozo, hela ambazo wangetumia kununulia bidhaa = reduction in purchasing power.

High inflation duniani kutokana na bei ya nishati na chakula = reduction in purchasing power

Variable zote hizo duniani zinakwambia kutakuwa na contraction ya uchumi.

Uchumi ni science events zilizopo zinabashiri hali ya uchumi. Ndio maana sidhani kama kuna nchi ina project growth zaidi ya zile ambazo serikali ina vyanzo vya nishati.

Mambo mengine ndio maana duniani tunaonekana watu wa ovyo; ata ukiangalia news za kimataifa wakizungumzia masoko ya hisa africa na E.A unaweza sikia shares za masoko ya Uganda na Kenya; lakini kamwe Tanzania is not mentioned ni kwamba kuna data za ovyo na kuna kampuni DSE zinasajiliwa bila ya vigezo sahihi mfano ‘Swala Oil’ ilikuwa aina vigezo kabisa vya kusajiliwa popote duniani zaidi ya Tanzania.

Mambo kama haya yanafanya dunia ituone watu wa ovyo. Njia pekee serikali inaweza ongopa uchumi kukua ni kupitia government investments maana bi Tozo katupa mihela kweli TAMISEMI, kilimo na nishati (be it nyingi zimeenda mifukoni mwa watu).

Vinginevyo bila ya government expenditure kama main variable hakuna mtu timamu atasikiliza hizo hadithi zaidi ya kuonyesha kiwango cha wapuuzi tuliowapa nafasi za juu kama hawajui ata muda wa kuongopa.

Genius
 
Back
Top Bottom