BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

Uchumi uliokuwa kwenye mifuko ya viongozi na chawa wao
 
Swala Oil na JATU Plc kweli Tanzania inatia aibu
 

Wewe nae umekuwa kama kichaa vile sasa chuki binafsi ndio nini wakati hali ni mbaya? Kwa sababu uchumi umekuwa kwenye makaratasi basi unalazimisha kila mtu aseme ndio? Msijifiche kwenye hoja ya chuki binafsi! Kila mtu analia na la kwake...watu wanasema hali ni mbaya wewe unasema chuki binafsi! Hivi wewe unga na mchele una nunua wapi?
 
Hali ni mbaya kulinganisha na lini Hali ilikuwa nzuri?

Kwani Hali kuwa ndio kunafanga uchumi usikue? Kwani hujui kwamba hali ilianza kuwa mbaya zaidi Jiwe alivyoingia na kufuatiwa na uviko na vita ya Ukraine?

Uchumi uko kwenye recovery stage shida yako ni ipi?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221010-183511.png
    92.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221008-151031.png
    105.2 KB · Views: 4
Uchumi ukue huku hali za maisha ya watu wasio wanasiasa wezi inazozidi kuwa mbaya!
Alaa kwa hiyo usafiri umesimama huko mitaani watu hawasafiri kwa sababu Hali ngumu si ndio? 😃😃.

Ujinga ni mzigo mkubwa sana.
 
Alaa kwa hiyo usafiri umesimama huko mitaani watu hawasafiri kwa sababu Hali ngumu si ndio? 😃😃.

Ujinga ni mzigo mkubwa sana.
Jizi mkubwa wewe umepata wapi pesa ya kuagiza mabasi 60 kwa jina la mkeo Esther, subiri arobaini zako zitafika soon
 
VIVA SAMIA VIVA
 
Uchumi uliokuwa kwenye mifuko ya viongozi na chawa wao
Acha tu, kasheshe ukiwasikiliza wataalamu sijui wachambuzi wa ovyo wanaoenda kuongea kwenye TV.

Binafsi zaidi ya wakurugenzi wa wizara sisikilizi tena upuuzi wa watu wengine wowote.
 
Hizi taarifa zimekaa "ki-ccm" mno ndio maana zimejaa mashaka na maswali mengi kama kawaida ya taarifa zao!
 
Hizi taarifa zimekaa "ki-ccm" mno ndio maana zimejaa mashaka na maswali mengi kama kawaida ya taarifa zao!
Pole Sana mkuu , Takwimu zinaongea zaidi kuliko mdomo wako 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221010-182757.png
    118.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221010-182927.png
    134.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221010-182749.png
    97 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221010-182847.png
    45.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221010-182941.png
    35.9 KB · Views: 5
Acha tu, kasheshe ukiwasikiliza wataalamu sijui wachambuzi wa ovyo wanaoenda kuongea kwenye TV.

Binafsi zaidi ya wakurugenzi wa wizara sisikilizi tena upuuzi wa watu wengine wowote.
Chuki haziwezi kubadili huu ukweli hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221010-183036.png
    93.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221010-183544.png
    114.2 KB · Views: 4
Kwenye masuala ya Uchumi na biashara Rais Samia hajawahi ni disappoint👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221010-183036.png
    93.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221005-195913.png
    138.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…