ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Sio BoT ni wanasiasaTulivyoambiwa tunajenga Reli na Bwawa la Nyerere kwa pesa ndani. Je sio mamlaka halali iliyotoa taarifa hizo? Kama ndio basi tunahaki ya kutokuamini kila kitu