ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #61
Hilo tuu ,soma hiyoo 👇Tupe mifano ya hizo shughuli za uzalishaji zilizoongezeka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo tuu ,soma hiyoo 👇Tupe mifano ya hizo shughuli za uzalishaji zilizoongezeka mkuu
Kwa zaidi ya miaka kumi sasa bidhaa zimekuwa zikipanda bei vibaya na thamani ya shilingi imekuwa ikiporomoka na kuathiri purchasing power za watu halafu bado hawa watu wanatudanganya kwamba uchumi unakua.Wewe mchumi tupe taarifa na uchambuzi wako.
Huu uchumi wa kushuka Kwa thamani ya pesa ni WA wapi?Kwa zaidi ya miaka kumi sasa bidhaa zimekuwa zikipanda bei vibaya na thamani ya shilingi imekuwa ikiporomoka na kuathiri purchasing power za watu halafu bado hawa watu wanatudanganya kwamba uchumi unakua.
Angalia jinsi pesa ilivyokosa thamani shilingi sasa hivi 2,386 ndio sawa na dola moja ya Marekani na bado inazidi kuporomoka tu, ebu serikali iache kufanya watu kama wajinga.
Ukiona pesa yako inapoteza thamani ni wazi kwamba uchumi wako inaporomoka na hii haihitaji degree kufahamu na vivyo hivyo bei ya bidhaa ikizidi kupanda. Tatizo huyu rais wa sasa, sawa na Magufuli, ni watu wanaopenda tu kusujudiwa wakati hamna chochote cha maana wanachokifanyia hii nchi. Bure kabisa.
Wewe unadhani ulianzishe Kwa kipi hasa Cha kulinganisha na Kenya?Tulianzishe tu km Kenya, hali nitete mnoo si madhara, watu wanagugumia tu lkn....
Ndilo lenyewe hilo lishoga la dodomaMbona km Sunk Cost Fallacy kwa huu mwandiko?
Naona Unaugulia uchungu wa chuki 😁😁😁
Chumvi nyingi + Tozo
Mbona mimi siuoni mifuko myeupe.
Unakua kuelekea wapi?
Hao viongozi wa BoT wamewekwa na hao hao watawala wanaosifiwa.
Hata hiyo asilimia tano ni ndogo sana, wangeongeza kidogo.
Nani aaiyejua serikali ya ccm,ni mabingwa wa kupika data ila ki uhalisia hali ni tete,uchumi unakua kwenye makaratasi tu,absurd
Nimepitia maoni ya wachangiaji wote hadi hapa, nimeona walioridhia hiyo ripoti ya BoT ni asilimia 15 wakati walioipinga ni 85%
Kwahiyo BoT mnatakiwa kutoa ripoti inayoakisi hali halisi, hauwezi kusema Uchumi umekuwa wakati hali za maisha ziko Chini. Still watu wanakula milo miwili
Umetumia kipimo gani kujua nina njaa, bahati tunatumia fake ID'sHaha una njaa kali kijana fanya kazi maisha sio magumu fanyeni kazi