BOT - Wamenoa meno sawa sawa

BOT - Wamenoa meno sawa sawa

Itoshe kusema tu kuwa ajira pamoja na mazuri yake ila ina changamoto zake vile vile ,
Sina tu security ya maisha yangu Ila ifeel quite safe huku kwenye kujiajiri .
Taratibu tuu mkuu utafika na utakua na security
 
Ehh ehh
Ukute raia watafunguliwa uhujumu uchumi japo sidhani kama sheria applies retrospectively;.,ama ni ya mwaka gani hii uhujumu uchumi?

maybe watakublock usiajiriwe ktk taasisi za kifedha tena
 
Ehh ehh
Ukute raia watafunguliwa uhujumu uchumi japo sidhani kama sheria applies retrospectively;.,ama ni ya mwaka gani hii uhujumu uchumi?

maybe watakublock usiajiriwe ktk taasisi za kifedha tena





Makosa ya jinai huwa hayana time bar
 
Kwa hiyo benki kuu imejivika jukumu la kuwa wakili wa hizo bank ambazo staff wao waliji-involve na hizo misconduct?

Hata kama lengo lao ni zuri lakini kwa bank kuu kujihusisha na hili moja kwa moja kunaonesha kuna msukumo wanaoupata toka mahali, wanataka hao watuhumiwa waka settle matter kwa DPP kama kawaida yao, wachukue mzigo wakafanyie mambo yao.

Binafsi ningependa hizo kesi ziende mahakamani, kila upande upeleke mashahidi wake mbivu na mbichi zikaamuliwe na hakimu, sitaki hao watuhumiwa waishie kukaa jela miaka kesi zikiitwa mahakamani upande wa mashtaka kila siku waseme uchunguzi bado unaendelea, huu ni uonevu.

Wewe hutaki kama nani sasa?
 
Enzi zile CDM haimtegemei Robert amsterdam
Kwani JF ilikua ina u-chama enzi hizo? Ilikua ni facts tu whether ni CCM or opposition watu walikua objective.

Sahvi imejaa wafia chama tu kina Countrywide ambao haijalishi baya au zuri gani lifanyike wao ni kutetea tu na kupongeza.

So sad
 
Kweli hiki ndio kichwa cha mwendawazimu ,ila kuna watu wanatafutwa hapa
 
Kwa hiyo benki kuu imejivika jukumu la kuwa wakili wa hizo bank ambazo staff wao waliji-involve na hizo misconduct?

Hata kama lengo lao ni zuri lakini kwa bank kuu kujihusisha na hili moja kwa moja kunaonesha kuna msukumo wanaoupata toka mahali, wanataka hao watuhumiwa waka settle matter kwa DPP kama kawaida yao, wachukue mzigo wakafanyie mambo yao.

Binafsi ningependa hizo kesi ziende mahakamani, kila upande upeleke mashahidi wake mbivu na mbichi zikaamuliwe na hakimu, sitaki hao watuhumiwa waishie kukaa jela miaka kesi zikiitwa mahakamani upande wa mashtaka kila siku waseme uchunguzi bado unaendelea, huu ni uonevu.
Umenena vyema

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Hapa pagumu sana haswa ukizingatia sheria ni sheria tuu.
Sheria na taratibu zinaweza kuwa hazifuatwi wala kufuatiliwa na vyombo au pande husika, kwa muda na kwa makusudi lakini huwa haizeeki, hazifi wala kustaafu.



Maendeleo hayana vyama fundi25 upo wapi

Wale walio piga barclays wakaondoka kwa wema kabisa kwani hii ina wahusu 😂
 
Ehh ehh
Ukute raia watafunguliwa uhujumu uchumi japo sidhani kama sheria applies retrospectively;.,ama ni ya mwaka gani hii uhujumu uchumi?

maybe watakublock usiajiriwe ktk taasisi za kifedha tena
Raia ndio wenyewe hao 🙆
 
Kuna watu wanatafutwa hapa,

Hasa hasa wale walopiga sana kwenye aya mabenk makubwa na kwenda kuwekeza kwenye TAASISI NDOGO NDOGO ZA KUKOPESHA.
 
Sa hivi Hamna makali tena kama wakati ule kabla mitano tena.

Sa hizi ndo hela inapigwa kwa kwenda front kuanzia RAIA no one mpaka karani,hakuna cha kupoteza ni muda Wa kujichotea sasa.
Vipi kwa upade wako mpaka sasa umechota ngapi ili tuanzie hapo kwako?
 
Kuna watu wanatafutwa hapa,

Hasa hasa wale walopiga sana kwenye aya mabenk makubwa na kwenda kuwekeza kwenye TAASISI NDOGO NDOGO ZA KUKOPESHA.
Kuna watu walikwiba wakaenda kufungua kampuni zao binafsi na sasa wana mitaji mikubwaaa
Sasijui itakuaje🙄🙄
 
Back
Top Bottom