MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Mvaa hirizi kama yule mwenyekiti wa chama muogopa maitiImekubali hoja ipi ya Zitto Kabwe?
Kabwe hakuzungumzia kosa la kiuandishi 300 billion kuwa 300 million, Kabwe alihoji mantiki ya namna gani dividend ya 300 billion inapatikana kwenye faida ya 200 billion?
Msimpe kiki za kijinga huyu mvaa hirizi.