BoT yaomba radhi: Ni baada ya kukosea na kusema Milioni 300 badala ya Bilioni 300

BoT yaomba radhi: Ni baada ya kukosea na kusema Milioni 300 badala ya Bilioni 300

Imekubali hoja ipi ya Zitto Kabwe?

Kabwe hakuzungumzia kosa la kiuandishi 300 billion kuwa 300 million, Kabwe alihoji mantiki ya namna gani dividend ya 300 billion inapatikana kwenye faida ya 200 billion?

Msimpe kiki za kijinga huyu mvaa hirizi.
Mvaa hirizi kama yule mwenyekiti wa chama muogopa maiti
 
Hoja gani ya zitto imekubaliwa kwenye tangazo hilo la BOT?? Au lugha inakupiga chenga?? Hapo wana sahihisha typing error million to Billion!!

Humu JF kuna watu vilaza sana, achana nao watakuchosha bure
 
Dk lulundwa kumbe yeye sasa ndio anasoma uhasibu na hirizi inayopumua, ni vizuri kukaa kimya
 
Vijana wanatafuta nafasi hao
Alichokuwa anabishania Zitto siyo hizo typing errors, yeye slikuwa anahoji unapata faida billion 200 na unalipa dividend billion 300 hizo zingine zimetoka wapi?
 
Ww ndio hujaelewa walichorekebisha hapo ni typing error kuwa badala ya billion 300 waliweka milioni mia 300 hawajaogelea habari za maingizo na faida Dr Mlundwa bado yupo sahii Zito amechemka
Mkuu lugha ya malkia inatuchenga,ila hoja ya zzk ina maantiki
 
Back
Top Bottom