Botswana: Baba aua watoto wake wawili kabla ya kujiua Kwa sababu ya Wivu wa Kimapenzi

Yaan wanaume Wana roho nyepesi kama ya senene....kitu kidogo tu yameshajiua!

Sisi wanawake hata mtombee dunia nzima, aku hatuna habaree[emoji848]

Niache kunywa savannah na Heineken nijiue eti mume wangu katombaa malaya mxiuuu[emoji57]
Tunakuwa maad sana. Tunaposikia au kuhisi mtu anakulia kitumbua chako.
Kungekuwa na uwezekano ungejaribu sikumoja kuwa mwanaume. u-feel what we feel unapoibiwa ndio ungejua mateso tunayoyapata.
 
Aisee mumeo anafaidi sana. Wanawake ndio wanapaswa kuwa hivi.
Ajabu kabisa mwanaume unajiua unaacha warembo tele wamejaa kisa mkeo katombwer 🤣🤣🤣🤣🤣 ujinga uliopitiliza kabisa
Nikukumbushe kitu mzabzab mara nyingi wanaume wanaojiua kwenye mapenzi ni wale ambao wameganda kwa mwanamke mmoja kitambo. Lkn wale ma- playboy wazee wa michepuko huwezi kuta wamefanya ujinga huo.
 
Sasa habari ya gazeti la botswana unatuletea kama ni habari ya hapa Nyumbani kutuletea mtafaruku bure! Sio kila habari ni habari kwa kila watu. Ungeiacha tu huko huko kwa kuwa haitusaidii chochote!!!
Au basi kama umeona ni muhimu ungesema; Huko Botswana........
NINGEKUWA MODERATOR hii ninge delete!!!
 
Yaan wanaume Wana roho nyepesi kama ya senene....kitu kidogo tu yameshajiua!

Sisi wanawake hata mtombee dunia nzima, aku hatuna habaree[emoji848]

Niache kunywa savannah na Heineken nijiue eti mume wangu katombaa malaya mxiuuu[emoji57]
Mapenzi ni raha ndio maana mimi siwezi kuishi sehemu ambayo hakuna wanawake, ukiona mtu anaumia hadi anajiua ujue moja tu alikuwa na kasoro fulani ambayo anahisi ikijulikana nje atadhalilika.

Mimi siumii, atombwe tu ila ninapo mshika na mie aise nafanyaga maafa, nafanya uchafu kiufupi ni udhalilishaji namfanyia hadi huruma namuonea na aachi wala akatai.

Pole na hongera yao sana, kwa wale warembo ambao wametokana na mimi, hakika nawapenda wote make tunachokifanyaga faraghani uwa ni kufuru Mungu atusamehe sisi vijana hivyo ni lazima tufanye kila kitu.

Narudia siwezi uumia wala kufikiria kujiua kisa mwanamke, najiamini mapenzi ni raha sana
 
Yaan wanaume Wana roho nyepesi kama ya senene....kitu kidogo tu yameshajiua!

Sisi wanawake hata mtombee dunia nzima, aku hatuna habaree[emoji848]

Niache kunywa savannah na Heineken nijiue eti mume wangu katombaa malaya mxiuuu[emoji57]
Yale yale ya katibu wa Masanja
 
Hahahaha utakuwa unadumbukia chembani wewe[emoji1787][emoji1787]
 
Ila maumivu ya mapenzi baki tu kuyasikia kwa watu jamani, usiombe yakukute.Jamaa kaamua kuchukua uamuzi mgumu Sana duh!🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…