Botswana: Baba aua watoto wake wawili kabla ya kujiua Kwa sababu ya Wivu wa Kimapenzi

Hahaha ana miwaya huyo (joke)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila mzabzab msengee sana mara ana ukimwi mara hana hela, afu nimegundua ni muongo sana huyu jamaa!

Ni mtu mmoja mwenye heshima zake hana cha ukimwi walaa nini, sema comedian[emoji16]
Hata mm naona anafurahisha genge ..ni smart sana tu
 
Hahaha ana miwaya huyo (joke)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila mzabzab msengee sana mara ana ukimwi mara hana hela, afu nimegundua ni muongo sana huyu jamaa!

Ni mtu mmoja mwenye heshima zake hana cha ukimwi walaa nini, sema comedian[emoji16]
Huyu jamaa anakula kweliii
We jifanye unaenda uone kama hutarudi unachechemea
Kuhusu hiv huwa namtania tu swahiba wangu huyu asiye mchoyo wa kiungo chake cha siri
mzabzab
 
Eti asye mchoyo wa kiungo chake cha siri 🤣🤣🤣🤣🤣
Wee bwana njoo hapa morena tuenjoy wikend
Sasa leo jmos hapo morena kuna nini cha ajabu zaidi ya kulala tena vyumba vyao vimebaaaana?
Maisha yako adden Hotel mwanza bwana week end kama hivi nje pale wanapiga na mziki mnene wateja mnajiachiaaa hadi mnasahau kwamba mnaishi buguruni malapa
 
Hili neno wivu wa mapenzi ndiyo linachochea mauaji, semeni ukweli CHANZO NI USALITI WA NDOA/ KUKOSA UAMINIFU KATIKA NDOA, (INFIDELITY) mkisema ni wivu , maana yake aliyefanya uasherati ana haki ya kuchepuka na hakupaswa kufuatiliwa wala kuhojiwa. Msitetee uzinzi na uasherati.
 
Sasa leo jmos hapo morena kuna nini cha ajabu zaidi ya kulala tena vyumba vyao vimebaaaana?
Maisha yako adden Hotel mwanza bwana week end kama hivi nje pale wanapiga na mziki mnene wateja mnajiachiaaa hadi mnasahau kwamba mnaishi buguruni malapa
Sawa tutaenda mwanza huko. Dance la nguvu kabla ya kugegedana.
Dancing is the vertical expression of the horizontal desire.
 
Wanaume mnatoomba sana ila nyie waliowengi kutooombewa hamvumilii hata...
Kugongewa ni udhalilishaji na unyanyasaji mkubwa sana kwa mwanaume.
Hayupo mwanaume atakayevumilia hili.
 
Angewaacha watoto hawana kosa
 
Matukio kama haya ndo Ile Hoja ya Kataa ndoa inapopataga point
 
Any way kua na mpenzi mmoja nayo ni shida sana akikuvuruga kidogo tu ndo unavurugika na kufikia maamuzi ya kipuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…