Botswana: Baba aua watoto wake wawili kabla ya kujiua Kwa sababu ya Wivu wa Kimapenzi

Ningekufahamu ningekufuata popote ulipo Tanzania hii, una bahati sana kapeace
Pole sana ungekuwa na ladha niipendayo ningejitambulisha wala usingehangaika, sipendi wanaume wanaojisifia kujua ngono mara mwanamke hakubabaishi humu mtandaoni hakuna anaebabaishwa na mwenzie, pride na ushamba wako ishi navyo havihitajiki huku
 
Pole sana ungekuwa na ladha niipendayo ningejitambulisha wala usingehangaika, sipendi wanaume wanaojisifia kujua ngono mara mwanamke hakubabaishi humu mtandaoni hakuna anaebabaishwa na mwenzie, pride na ushamba wako ishi navyo havihitajiki huku
Aah nimeelewa sasa chanzo cha wewe kunichukia, sorry may be ukunielewa, hakuna sehemu nimejisifia et najua sijui ngono ama nini ok.

Nilijaribu tu kuzungumzia tunavyofanya mabaya faraghani jamani, ambayo if yakivujishwa hadharini ni majanga lkn sio et najua jamani nisamehe basi kama nilikukwaza mrembo.
 
Ifike mahal ukubali kwamba me na ww kulana haitawezekana
We mshkaji wangu kinomaa
jamani hakuna kukata tamaa katika haya maisha naamini ipo siku tutakulana na ndio itakuwa safari yetu ya kuwahusband and wife tuu
 
You can't heal mental health without spiritual health otherwise you will suffer.
 
Yaan wanaume Wana roho nyepesi kama ya senene....kitu kidogo tu yameshajiua!

Sisi wanawake hata mtombee dunia nzima, aku hatuna habaree[emoji848]

Niache kunywa savannah na Heineken nijiue eti mume wangu katombaa malaya mxiuuu[emoji57]
Hahahahaha......maneno murua sana. Hapo kwenye bia nimekuunga mkono, siku ukiwa na kiu nicheki inbox
 
Mke ambae Hana tako. Hashtui
 
unatumia nguvu sana kujieleza, wanaume tushakataa kujieleza, wewe hamna kitu debe tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…