Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Jamaa yaani asilimia hamsini ya dhahabu inaingia kwenye bajeti. Wana kaampuni moja ndio ina deal na dhahabu na wamegawana 50:50, ila hamsini yao yote inaingia kwenye dhahabu.

Swala la wafanyakazi, lipo kimtaa, yaani mtaa ndio una present wafanyakazi husika hivo hamna upigaji.

Wana watchdog Institute yao hiyo ipo international, huibi hata sukari utajikuta ndani. Yaani hakuna rushwa hakuna wizi wa pesa za wanachi, kila kitu kimenyooka.

Plus idadi ya wananchi wao ni rahisi sana kucontrol, hawako scattered sana, everything is centred.

Ila sasa ukimwi mamamaqe. Ukimwi botswana kama unavyokutana na gari aina ya IST bongo.

Ili sisi tuweze kama botswana, inabidi Nchi izime week nzima. Mipango yote iwe centred.

Mbilingi, mbambambaa, mbelekenye , maneno yasiwe mengi.
Alafu Inakuja institute kutoka nje ndio iwe watchdog wa wizi.


Ila pia tuwe na uhakika wa utokaji wa bidhaa zetu haswa petroli, Gas, hela ya utalii, ila hili pia litafanya tusiwe naa uhuru mkubwa sana kama tulionao. Tutapata sana magonjwa kama ukimwi maaana tutakua centred.

Na kuna mengi sana itabidi yafanyike. Of which kwa wingi wetu nadhani tutalia.
Nchi kubwa na yenye watu wengi kama Tanzania huwezi centralize ukafaulu maana hata sasa tuna central system.

Nchi ikiwa kuwa inatakiwa ugatuzi Ili Mikoa ijisimamie na pia tuwe na sheria Kali na taasisi huru za Kusimamia hizo sheria ndio tutafaulu.

Mwisho jamii ya watu kama Watanzania wanaopenda shortcut ni tatizo but wanahitaji kuzoezwa mwanzoni itakuwa maumivu lakini baadae watazoea na utakuwa utamaduni.
 
Tunaweza ila tuu kama tutapata akili za kufanya hivyo.

Mimi ningekuwa Rais wenu ningefanya mambo mengi sana mazuri maana Nina akili za kiuchumi na najua kuwashirikosha wenye akili pia.

Kama umewahi msikiliza Mbunge Kunambi,basi Mimi ningefanya kazi na watu kama yeye.

Mwisho mambo mazuri Huwa yanahitaji mda na sucrifice unaweza wahishwa Kwa God maana hapa Bongo ni shida sana.
Wewe mjinga labda Urais wa machawa wenzio. Stupid
 
CCM ndio imetufikisha hapa ufisadi na sera mbovu

Mkiona jinsi wao wanavyogawana keki ya taifa ndugu zangu msizionee huruma pesa za serikali

●Ukipata nafasi ya kutolipa kodi fanya juu chini usilipe kodi
●Ukipata nafasi ya kupiga pesa au kuiba vifaa vya serikali piga na iba kadiri uwezavyo
●Usiache kula rushwa

NB: Cha muhimu usikamatwe
 
Nchi kubwa na yenye watu wengi kama Tanzania huwezi centralize ukafaulu maana hata sasa tuna central system.

Nchi ikiwa kuwa inatakiwa ugatuzi Ili Mikoa ijisimamie na pia tuwe na sheria Kali na taasisi huru za Kusimamia hizo sheria ndio tutafaulu.

Mwisho jamii ya watu kama Watanzania wanaopenda shortcut ni tatizo but wanahitaji kuzoezwa mwanzoni itakuwa maumivu lakini baadae watazoea na utakuwa utamaduni.
Centrallized gvt type ya botswana, ije bongo lazma tuteme bungo.
 
CCM ndio imetufikisha hapa ufisadi na sera mbovu

Jinsi wao wanavyogawana keki ya taifa ndugu yangu usiionee huruma pesa ya serikali

●Ukipata nafasi ya kutolipa kodi fanya juu chini usilipe kodi
●Ukipata nafasi ya kupiga pesa au kuiba vifaa vya serikali piga na iba kadiri uwezavyo

NB: Cha muhimu usikamatwe
Hata hao wezi wengine walianza hivhivi wakajikuta ni kundi kubwa😁😁😁
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Wale sio wabantu sana.
 
Siri ni hii hapa,

View attachment 2961469
Kwa kifupi hawawezi kumuumiza shemeji yao... Dada yao atapata shida... Maana dada mtu alikolea sana kwa jamaa,, na alikuwa yupo teyari kwa lolote.... Wakaona isiwe tabu....
Jamaa alivyotoka masomoni na kupata uongozi mapema kabisa alikaa na wazungu na kuangalia ni namna gani madini yatanufaisha pande zote mbili
 
Centrallized gvt type ya botswana, ije bongo lazma tuteme bungo.
Alishindwa Mwalimu,wameweza Kwa sababu ni wachache.

Hakuna Nchi yenye watu wengi na kubwa utaitawala Kwa centralization ikafanikiwa.

Tanzania tuna centralization ndio maana hatuendelea.Haiwezekani Bajeti ya kujenga vyoo ipigishwe Tamisemi ni upuuzi.
 
Mbona mwanza haipo hivyo sasa
Hela ya mwanza lazma ifike ikulu chamwino au pale mzizima, then raisi annaikata anasema inaenda jenga daraja Tarime, tarime kuna wajomba wanaisubiri walipie lodge dollar 480 kwa siku, kuna mwingine ananunue prado la milioni 180, simba wapewe kila goli, yanga wapewe kwenye beseni. So haiwezi kuwa kama botswana.
 
Back
Top Bottom