kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Ikiwa nchi inakuwajeSio Nchi sasa
Kuna Botswana ngapi nchini Tz kwa maana hiyo.
China na Tz ipi kubwa?
Nigeria je!
Vipi kuhusu India. Je sisi tumewazidi kwakua wao wapo wengi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa nchi inakuwajeSio Nchi sasa
Rais wao Ana asili ya UZUNGUWelcome to Botswana 🇧🇼
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Waache kabisa kupiga kura itambulike hatutaki tena chaguzi za kihuni tumechoshwa na Serkali yao.Sasa wampigie nani?
Nigeria ni takataka hamna kitu.Ikiwa nchi inakuwaje
Kuna Botswana ngapi nchini Tz kwa maana hiyo.
China na Tz ipi kubwa?
Nigeria je!
Vipi kuhusu India. Je sisi tumewazidi kwakua wao wapo wengi?
Ni mtoto wa muasisi aliyeoa mzungu ndio maana unaona ana Asili hiyoRais wao Ana asili ya UZUNGU
Ina watu 2.5mln only with abundant resources especially Diamond
Kwahiyo ishu ni idadi ya watu au kudhibiti rushwa.Nigeria ni takataka hamna kitu.
China hao ni watu weupe usilinganishe na Tzn
Mwisho Sina hakika kama China inatumia mfumo upi but nadhani ni mfumo wa Majimbo ila tuu taasisi za Kudhibiti Rushwa ndio ziko vizuri.
siyo kweli,wanaotawala wanatawala Kwa faida ya nchi.Ina watu 2.5mln only with abundant resources especially Diamond
Kwani mwanza ni nchi?Mbona mwanza haipo hivyo sasa
Unadhani kuhudumia familia ya watu watatu na watu 10 ni sawa! Ukienda Botswana kamji kazina unakazunguka ndani ya muda mfupi tu umekamaliza kama kuzunguka Ilemela na Nyamagana.Ingekua hivyo Basi mwanza ingekua Kama Botswana kwa maendeleo. Na Tanzania ingekua zaidi ya Botswana kwa maendeleo sababu imewazidi idadi ya watu. Watu wanauongozi mzuri kutuzidi tuache siasa tuwe wakweli
Resources ni nyingi na wameweza kuzigeuza kufanya maendeleo. Botswana madini tu yamewasaidia kubadilisha uchumi waoKwanini China wametuzidi?
Inatagemea unakitumiaje hiki kigezo.Sio kigezo sahihi!.
Na kwanini Tanzania imezidiwa?Resources ni nyingi na wameweza kuzigeuza kufanya maendeleo. Botswana madini tu yamewasaidia kubadilisha uchumi wao
Siku tukiacha kuzaliana kama panya, apo tutaweza kujihudumia vizuri.[emoji850]Na kwanini Tanzania imezidiwa?
Udogo sio kigezo hata wingi sio kigezo!Hoja mfu kabisa hii mbona nyie ni wachache kuliko china na ardhi yenu ni ndogo na bado hamfikii robo ya maendeleo ya china
Nchi ina rosources lakini haina mikakati. Watu wanahimizana kuzaliana wakati hawana namna ya kuifanya population yao kuwa silaha, nguzo na productive, badala yake wanazaliana na kuishia kutengeneza disposable population, jamii isiyojiweza kwa lolote lile.Siku tukiacha kuzaliana kama panya, apo tutaweza kujihudumia vizuri.[emoji850]
Udogo nimoja wapo ya Umasikini[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] ila uwingi siyo kigezo[emoji818][emoji818][emoji818]Udogo sio kigezo hata wingi sio kigezo!