Botwana wazalendo wanaongoza sisi wapigaji ndiyo viongozi

Botwana wazalendo wanaongoza sisi wapigaji ndiyo viongozi

Wenzetu wanagombea kwa uzalendo na kuleta maendeleo. Tanzania watu wanagombea kulinda malizao na kujitajirisha. Tusishangae Raisi mzima ana unga mkono wizi wa mwenyekiti wa kijiji kwenye nchi yake!


View: https://youtu.be/946l-x6Szns?si=F5wAQEHqqy6aEGT-

Umeandika Kwa uchache ila unauchungu ule wa kweli!
Nchi yetu mzalendo ni mwana CCM wengine wanahukumiwa ni vibaraka.
Hakuna jipya ni upigaji kwenda mbele.
 
Rais wa kisiwa kimoja ali tangaza wazi kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake . Uyu ana akili kweli kabsa ?
 
Back
Top Bottom