Box Office battle: Avatar Vs Avengers

Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?
 
Nis side au said
Yote kwa yote uyo jamaa ni nouma hata mm nakubali kuwa ni strong kuliko thanos
Zile raiser zake zinakata kona mzee ni hatari
Kwenye animation superman uwa anakimbizwa na zile kila chocholo
 
Ujue kwenye hizi movie wana wapunguza nguvu kwasababu wakiwa kwenye full strength thor ana balaa na ndio maana hakukutana kabisa na thanos kama hawa wengine

JL hii umeona jamaa amemtendea haki superman, yaani ile movie kama superman angekuwepo tangu mwanzo ilikua ni movie ya dakika 5 na sio 4 hrs
Ila ya kwanza superman walimpa majukumu mengi
Mara civilians kasepa alafu anarudi anauliza is this guy still bothering you?
 
Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?

Kuna jamaa anaitwa Dr manhattan. Huyu jamaa ni kwere anado thng kwa kufikiria. Nahs huyu ndo strongest supernatural human being ever
 
Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?
Kwamba ni strongest kuliko wote?? Kuzidi hata Thor,Cap marvel???

Unawajua Rogue, Enchantress, Monica Rambeau,Jean Grey???
Wote hawa wanaweza kumpiga Wanda
 
Kwamba ni strongest kuliko wote?? Kuzidi hata Thor,Cap marvel???

Unawajua Rogue, Enchantress, Monica Rambeau,Jean Grey???
Wote hawa wanaweza kumpiga Wanda


Dr manhattan anawakalisha wote
 
Kwamba ni strongest kuliko wote?? Kuzidi hata Thor,Cap marvel???

Unawajua Rogue, Enchantress, Monica Rambeau,Jean Grey???
Wote hawa wanaweza kumpiga Wanda
Bro wali comfirm hili swala the strongest avenger ni wanda
Kama umeangalia series ya wandavision utaelewa kwanini agatha alikua anataka achukue power zake maana ni hata sana
Wanda amepewa chapter zima kwenye book of dark hold
Imagine kitabu cha kishetani kimemuelezea wanda as Scarlett witch
Haitaji kuongea ili kitokee kama wachawi wengi yeye anafikiria tu
 
Dc yaani kati ya wote wale the flash ndio msaada wao wa mwisho
Kwenye animation ipo ivyo

Ilimbidi aende past iliawape taarifa

Kwenye movie tumeona kuna siku batman alipata ndoto anamuona flash ametokea kwenye portal anamwambia lane is the key i guess atakuja kuelewa baadae maana akifa yule manzi superman hata muelewa mtu ndio kitatokea tulichoona kwenye the last JL hii
 
"Finally a worthy opponent, Our battle will be Legendary "


Hii quotation namkumbuka Thailand [emoji3]
 
Characters yeyote aliyepata nguvu zake kupitia infinity Stones Ni powerful ila thor ndo powerful

Hii ni kwa sababu odin hayupo


Nakumbuka kwenye avengers assemble black window anamwambia Steve aliekuwa akitaka kuwafuatilia pale thor alivyowapokonya na kumchukua loki mkononi mwao alimwambia awe makini hawa watu ni Gods ni legend


Yaani rank Ni Thor
Captain marvel
Scarlett witch
 
Halafu kwenye dc ukimuondoa Superman wonder woman .. flash ndo anafata kwa nguvu kwa upande wa heroes


Huyu wandawoman alipigana hadi na god of war mnyama aries himself dadekiii kwenye ile Wonder woman namba moja
 
Confirmed John Walker (Captain America) anakuja kua adui maana kwenye Ep5 Barnes na Sam wamemnyanganya ngao sasa kzee baba kaenda kutengeneza ngao yake mwenyewe arudi mzigoni.
Tayari ishatoka ep 05 ?

Afadhali maana sijakubaliana na wazo la kuwa na captain America mwengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…