Box Office battle: Avatar Vs Avengers

Box Office battle: Avatar Vs Avengers

2. Tesseract originate yake inaanzia huko kwenye viumbe waitwao Eternal. Nadhani muvi yake ikitoka tutaona zaidi. Ila kwasasa tunajua Tesseract ilikua Asgard for long time since asgardian wana long lifespan.. Odin alikua anaihifadhi.

3: Kwa muono wangu mapaka sasa kwa character walioletwa MCU the strongest Avanger ni Captain Marve.. kwanza anaweza kupaa bila kutumia means yoyote, anaweza kuvunja chochote kilicho mbele yake. Characters mwenye nguvu karibia kumfikia Carol ni Monica Rambaue. Ila wapo wengine kwenye comics huko strongest kuliko Carol.
Anayefutia ni Thor, sema thor bila Nyundo anakua mwepesi sana.

1. Regarding Captain Marvel movie Kree na Scrull war chanzo chake ilikua baada ya Kree kuwavamia Skrulls na kuharibu makzi yao ili waibe technology yao
Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?
 
Sijawai kwenda na muda natizamaga movie zishapita muda.

Nina amu ya kumuona Darksaid huyu Villan namemuona sana kwenye Memes za DCU&MCU fanboys akiwekwa Darksaid Vs Thanos according to Comic Thanos mchumba kwa Darksaid...unaweza waelezea hawa Darksaid na Stephen Wolf ni Race gani na mishe zao zipoje au DCU haupo vizuri sana.
Nis side au said
Yote kwa yote uyo jamaa ni nouma hata mm nakubali kuwa ni strong kuliko thanos
Zile raiser zake zinakata kona mzee ni hatari
Kwenye animation superman uwa anakimbizwa na zile kila chocholo
 
Nimependa hili jibu na mimi nimo humuhumu huyu Demu ana power sana, wengi wanampa marks Thor baada ya kumpiga Thanos kwa kustukiza kwenye Infinity na ile Entrance yake pale kwenye vita watu wamemkariri hadi leo, kwenye Hand to Hand na Thanos fight kwenye Endgame kaonekana mdebwedo tu.

Captain Marvel Vs Wanda hapa ndio utata maana yule Demu naye alimbinya Thanos mpaka akaomba msaada waachie mabomu.
Ujue kwenye hizi movie wana wapunguza nguvu kwasababu wakiwa kwenye full strength thor ana balaa na ndio maana hakukutana kabisa na thanos kama hawa wengine

JL hii umeona jamaa amemtendea haki superman, yaani ile movie kama superman angekuwepo tangu mwanzo ilikua ni movie ya dakika 5 na sio 4 hrs
Ila ya kwanza superman walimpa majukumu mengi
Mara civilians kasepa alafu anarudi anauliza is this guy still bothering you?
 
Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?

Kuna jamaa anaitwa Dr manhattan. Huyu jamaa ni kwere anado thng kwa kufikiria. Nahs huyu ndo strongest supernatural human being ever
 
Kwenye comics tue strongest ni scarlet witch (wanda)
Scene iliyo dhihilisha hili kwenye movie ni pale alipo mpiga thanos
She was going to kill him sema ile rain of fire ndio ilisaidia

Au?
Kwamba ni strongest kuliko wote?? Kuzidi hata Thor,Cap marvel???

Unawajua Rogue, Enchantress, Monica Rambeau,Jean Grey???
Wote hawa wanaweza kumpiga Wanda
 
Kwamba ni strongest kuliko wote?? Kuzidi hata Thor,Cap marvel???

Unawajua Rogue, Enchantress, Monica Rambeau,Jean Grey???
Wote hawa wanaweza kumpiga Wanda
Bro wali comfirm hili swala the strongest avenger ni wanda
Kama umeangalia series ya wandavision utaelewa kwanini agatha alikua anataka achukue power zake maana ni hata sana
Wanda amepewa chapter zima kwenye book of dark hold
Imagine kitabu cha kishetani kimemuelezea wanda as Scarlett witch
Haitaji kuongea ili kitokee kama wachawi wengi yeye anafikiria tu
 
Dc yaani kati ya wote wale the flash ndio msaada wao wa mwisho
Kwenye animation ipo ivyo

Ilimbidi aende past iliawape taarifa

Kwenye movie tumeona kuna siku batman alipata ndoto anamuona flash ametokea kwenye portal anamwambia lane is the key i guess atakuja kuelewa baadae maana akifa yule manzi superman hata muelewa mtu ndio kitatokea tulichoona kwenye the last JL hii
 
Finally a worthy opponent, Our battle will be Legendary [emoji28]

It's right Thor ni Strongest character lakini hiyo haimfanyi kumshinda Carol Denver. Sikatai kua ni God lakini ujue Odin ni strong zaidi kuliko Thor pia

Wanda nae ni strongest character mpaka sasa alichokua anafanya ni kutumia Atral body yake kufanya tas zingine kama Doc strange. Wana ni strong kuliko strange hilo halina ubishi ngoja tuone 2022 itakuaje

Kwa mujibu wako ni sahihi kabisa nami nakubali ila tukichukua na character kutoka Xmen Jean Grey anakua ni powerful kuliko wote hao. Bado sijamchukua Reed Richard one of the most Smart character in Marvel Comics

Thanos anaweza pigwa na mfanya kazi wake Ebony Maw.. hiyo haina ubishi. Thanos akivua Gauntlet yake na Thor akaweka nyundo pembeni Thanos atakufa in 5 minutes. Kinachomsaidia Thanos ana jeshi kubwa

Ronan mpaka sasa sijaona Upoweful wake si bora hata Yon Rog

Nakumbuka part hiyo, last time naangalia GOG ni jana usiku tu! Sawa ni kweliii comics zinamtaja Thanos as powerful being ila bado sijaona uwezo wake

Agent of Shield ninayo nipo s4 ila nimestop kidogo naangalia blacklist kwqnza. Ngoja nione kama part hiyo nitaifikia

Gorr the slayer sijasoma comics zake sana nimeona Christian bale ndio atampotray kwenye muvi. Lets wait tuone. Thanks for challenge usiku nitasoma comic ya huyu Gorr the slayer


Mpaka sasa marvel studios hawajaconfirm kama watamtumia Adam kwenye GOG vol 3 ngoja tuone itakavyokua wakitangaza Cast yao

Yeah nami nakubali. The next just league movie itakua kali zaidi kuliko hii iliyotoka. Sijaipenda wala...
Wito waache kutumia rangi nyeusiii
"Finally a worthy opponent, Our battle will be Legendary "


Hii quotation namkumbuka Thailand [emoji3]
 
Bro wali comfirm hili swala the strongest avenger ni wanda
Kama umeangalia series ya wandavision utaelewa kwanini agatha alikua anataka achukue power zake maana ni hata sana
Wanda amepewa chapter zima kwenye book of dark hold
Imagine kitabu cha kishetani kimemuelezea wanda as Scarlett witch
Haitaji kuongea ili kitokee kama wachawi wengi yeye anafikiria tu
Characters yeyote aliyepata nguvu zake kupitia infinity Stones Ni powerful ila thor ndo powerful

Hii ni kwa sababu odin hayupo


Nakumbuka kwenye avengers assemble black window anamwambia Steve aliekuwa akitaka kuwafuatilia pale thor alivyowapokonya na kumchukua loki mkononi mwao alimwambia awe makini hawa watu ni Gods ni legend


Yaani rank Ni Thor
Captain marvel
Scarlett witch
 
Dc yaani kati ya wote wale the flash ndio msaada wao wa mwisho
Kwenye animation ipo ivyo

Ilimbidi aende past iliawape taarifa

Kwenye movie tumeona kuna siku batman alipata ndoto anamuona flash ametokea kwenye portal anamwambia lane is the key i guess atakuja kuelewa baadae maana akifa yule manzi superman hata muelewa mtu ndio kitatokea tulichoona kwenye the last JL hii
Halafu kwenye dc ukimuondoa Superman wonder woman .. flash ndo anafata kwa nguvu kwa upande wa heroes


Huyu wandawoman alipigana hadi na god of war mnyama aries himself dadekiii kwenye ile Wonder woman namba moja
 
Confirmed John Walker (Captain America) anakuja kua adui maana kwenye Ep5 Barnes na Sam wamemnyanganya ngao sasa kzee baba kaenda kutengeneza ngao yake mwenyewe arudi mzigoni.
Tayari ishatoka ep 05 ?

Afadhali maana sijakubaliana na wazo la kuwa na captain America mwengine
 
Back
Top Bottom