Boxing Day 2021: Kumbe Mwanamke akishalewa, usaliti ni nje nje!

Mwanamke anaelewa si faithful katika mahusiano, anaweza megwa na mwanaume mwingine muda wowote.

Mwanamke hakuumbiwa Alcohol.

Dont trust an alcohol taking woman
Abort the mission...
Abort the mission ...
Mission is compromised
 
Mwanamke anaelewa si faithful katika mahusiano, anaweza megwa na mwanaume mwingine muda wowote.

Mwanamke hakuumbiwa Alcohol.

Dont trust an alcohol taking woman

Anyway pole
 
Wanapigwa sana pipe hasa wakiwa wamelewa boxing day kuna mmoja nilimshika sana maziwa sema sikutaka kumpelekea moto nikamsindikiza hadi kwake
Ila wewe mzee una watoto wakubwa tu tena wengine wameoa, kwa nini hujiheshimu? Hivi mkeo na wajukuu wanajua kweli mambo unayofanya babu yao??? Mzee acha hizo bhana, linda heshima yako, waachie vijana hizo mambo.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Wapi ulishawahi ona mzee mboo haisimami kama wanafuata pesa lazma kuchezewa kuhusike uncle
 
Wapi ulishawahi ona mzee mboo haisimami kama wanafuata pesa lazma kuchezewa kuhusike uncle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah ndio wazee wetu hawa, tunaotegemea watuachie taifa. Nchi ngumu sana hii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Acha kabisa mkuu,
Uyu shemej ningezembea angeliwa kabisa na wale vijana

Nilichogundua pia,
Uku KWENYE mabaa wengine wanakwenda kwa gia ya kujipatia wanawake wa Bei rahisi baada ya kulewa pombe.
 
Kuna mrejesho nauandika khs kilichojiri asbh yake pamoja na leo nilipoenda kumjulia Hali.

Kiukweli Kuna vitu alifanya nikidhani ni pombe, ila vingine kanafanya akiwa hata hajalewa.
 

We kweli shemeji; Kama haya Ni ya kweli, nakupongeza; Ila Nina swali:

Ulikuwa n rungu Na panga, wakati unatumia panga, Na kubadili Na rungu , ulikuwa waliweka Wapi? Chini halafu unalinyanyua tena?
 
We kweli shemeji; Kama haya Ni ya kweli, nakupongeza; Ila Nina swali:

Ulikuwa n rungu Na panga, wakati unatumia panga, Na kubadili Na rungu , ulikuwa waliweka Wapi? Chini halafu unalinyanyua tena?
ni rungu na sime, sio panga mkuu[emoji4](rejea Uzi wangu vizur).

Vyote hivyo mbona vinashikika kabisa kwa mkono mmoja kiganjani.
Ila wakati wa kutumia moja unaishikilia mkono mwingine.

Rungu lenyewe sio kubwa sana,

Ni Yale meusi yakimasai yananundu kwa mbele na mpini mfupi TU Kama wa futi 2.
 

Wewe Ni shemeji wa ukweli, hongera Sana, I am impressed! Ila mwambie Bro atemane Na hiyo ngofoko
 
Wewe Ni shemeji wa ukweli, hongera Sana, I am impressed! Ila mwambie Bro atemane Na hiyo ngofoko
Mapenz ya watu hayaingiliwagi mkuu,

Kilichotokea pale kwanza kukisema kwa rafik yangu itakua sio vizuri, Ntakua sijaheshimu faragha ya shemej yangu.

Na hata nikimwambia sijamfanya kitu, kwa Akili ya kawaida hatoamini na huenda akaanza kuniangalia kwa jicho la tofauti kua Kuna Cha ziada namficha.

Afu pia Kutoa ushauri kwa wapenzi na hujaombwa icho kinakua Ni kiherehere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…