Boxing Day 2021: Kumbe Mwanamke akishalewa, usaliti ni nje nje!

Boxing Day 2021: Kumbe Mwanamke akishalewa, usaliti ni nje nje!

Mapenz ya watu hayaingiliwagi mkuu,

Kilichotokea pale kwanza kukisema kwa rafik yangu itakua sio vizuri, Ntakua sijaheshimu faragha ya shemej yangu.

Na hata nikimwambia sijamfanya kitu, kwa Akili ya kawaida hatoamini na huenda akaanza kuniangalia kwa jicho la tofauti kua Kuna Cha ziada namficha.

Afu pia Kutoa ushauri kwa wapenzi na hujaombwa icho kinakua Ni kiherehere

Kweli kabisa
 
Ila Ni kama Shem wako anakutaka kidizaini eehh,, na kuvuliwa chupi,, doh

Wanaume wengi umri ukisogea kwenye 40+ kutomber Ni maamuzi ya akili zenu sio popote tu,, hata angeimanua mbele yako bado usingemla km akili yako haitaki kumla,,, hongera tu kwa wife wako kapata kilicho bora

Hivi unakulaje takataka imelewa hivyo?
 
Unanitisha Sasa[emoji848]
sikutishi ndio ukweli wenyewe yaani umeshamvulisha na chupi kbs ...atafanya kila awezalo kukukamata na hutakuwa na ujanja tena wa kukwepa tena

jihadhari tu kila atakapokuita tambua inatafutwa mbinu ya kukuingiza kingi...na akiona humtimizii takwa lake ipo siku atakusingizia unataka kumbaka
 
sikutishi ndio ukweli wenyewe yaani umeshamvulisha na chupi kbs ...atafanya kila awezalo kukukamata na hutakuwa na ujanja tena wa kukwepa tena

jihadhari tu kila atakapokuita tambua inatafutwa mbinu ya kukuingiza kingi...na akiona humtimizii takwa lake ipo siku atakusingizia unataka kumbaka
Haiwezekani mkuu,
Nina boundaries zangu tayar, hawezi kuzivunja.

Sema mkuu
Kuna visa vimetokea Jana asbh na Leo asbh.
Vinaendana na ulisema Hapa.

Leo jion nkitoka kazin natakiwa kupitia uko kwake,

Kesho nikiamka vizur ntaleta Uzi apa[emoji4]
 
Mtu anavamiwa na akapata chansi ya kupiga simu anaacha kuita polisi akuite wewe!? Sawa basi tufanye hilo linawezekana kabisa kipombepombe haya na wewe unapewa taarifa ya mtu kuvamiwa unakwenda na sime na rungu lako badala ya kuripoti polisi upate escort yao!?

Dah! Hii ya leo imezidi kuwa ya moto tunaungua
 
Hivi hii ni aina gani ya kipera katika vile vipera vya hadithi?

Wataalamu wa kiswahili tusaidieni tafadhari.
 
Kuna siku nilisahau nimefikaje home... always nakunywa just for funny na afya sizidishi level yangu.... that's my principal
 
Mtu anavamiwa na akapata chansi ya kupiga simu anaacha kuita polisi akuite wewe!? Sawa basi tufanye hilo linawezekana kabisa kipombepombe haya na wewe unapewa taarifa ya mtu kuvamiwa unakwenda na sime na rungu lako badala ya kuripoti polisi upate escort yao!?

Dah! Hii ya leo imezidi kuwa ya moto tunaungua
Hivi Unaujua uvamizi au unaongea TU kiushabiki,
Pale kulikua na uvamizi gani wa kuhitajika polisi.

Vitu vingine ukiwa mwanaume unamaliza tu mwenyewe kimtaa mtaa,

Sio kupiga piga piga yowe ovyo kusumbua mamlaka za serikali.

Aisee mkuu,
wee Ni mwanaume wa wapi unakua dhaifu hivyo?[emoji848]
 
Hivi hii ni aina gani ya kipera katika vile vipera vya hadithi?

Wataalamu wa kiswahili tusaidieni tafadhari.
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwanini mkuu
 
Mtu anavamiwa na akapata chansi ya kupiga simu anaacha kuita polisi akuite wewe!? Sawa basi tufanye hilo linawezekana kabisa kipombepombe haya na wewe unapewa taarifa ya mtu kuvamiwa unakwenda na sime na rungu lako badala ya kuripoti polisi upate escort yao!?

Dah! Hii ya leo imezidi kuwa ya moto tunaungua
Unajifanya mkosoaji , Ujuaji mwingi afu kumbe mbele kiza[emoji4].

Mkuu,
umesoma Uzi na kujibu kwa kukurupuka bila kuelewa ulichokiandika hapa.

Ebu kasome Uzi vizur afu urejee maswali unayojiuliza.

Utagundua Ni jins gani ulivyo nje ya mada.
 
Unaitwaje nikaupitie[emoji4]


Huo hapo, wa siku nyingi... long time kitambo...😅.

Poor Allen, tumepotezana tena.
 
Summary please.....

anaeweza kuifupisha tafadhali..
 
Back
Top Bottom