Mapenz ya watu hayaingiliwagi mkuu,
Kilichotokea pale kwanza kukisema kwa rafik yangu itakua sio vizuri, Ntakua sijaheshimu faragha ya shemej yangu.
Na hata nikimwambia sijamfanya kitu, kwa Akili ya kawaida hatoamini na huenda akaanza kuniangalia kwa jicho la tofauti kua Kuna Cha ziada namficha.
Afu pia Kutoa ushauri kwa wapenzi na hujaombwa icho kinakua Ni kiherehere
Kuna uzi nilianzisha alikuwa ananipenda sana sema nikawa nampotezea na akili za kitoto....
Ila Ni kama Shem wako anakutaka kidizaini eehh,, na kuvuliwa chupi,, doh
Wanaume wengi umri ukisogea kwenye 40+ kutomber Ni maamuzi ya akili zenu sio popote tu,, hata angeimanua mbele yako bado usingemla km akili yako haitaki kumla,,, hongera tu kwa wife wako kapata kilicho bora
sikutishi ndio ukweli wenyewe yaani umeshamvulisha na chupi kbs ...atafanya kila awezalo kukukamata na hutakuwa na ujanja tena wa kukwepa tenaUnanitisha Sasa[emoji848]
Haiwezekani mkuu,sikutishi ndio ukweli wenyewe yaani umeshamvulisha na chupi kbs ...atafanya kila awezalo kukukamata na hutakuwa na ujanja tena wa kukwepa tena
jihadhari tu kila atakapokuita tambua inatafutwa mbinu ya kukuingiza kingi...na akiona humtimizii takwa lake ipo siku atakusingizia unataka kumbaka
[emoji2][emoji2][emoji2]Wewe ni kenge mods mpigeni ban huyu mbung'o.
Hivi Unaujua uvamizi au unaongea TU kiushabiki,Mtu anavamiwa na akapata chansi ya kupiga simu anaacha kuita polisi akuite wewe!? Sawa basi tufanye hilo linawezekana kabisa kipombepombe haya na wewe unapewa taarifa ya mtu kuvamiwa unakwenda na sime na rungu lako badala ya kuripoti polisi upate escort yao!?
Dah! Hii ya leo imezidi kuwa ya moto tunaungua
Unajifanya mkosoaji , Ujuaji mwingi afu kumbe mbele kiza[emoji4].Mtu anavamiwa na akapata chansi ya kupiga simu anaacha kuita polisi akuite wewe!? Sawa basi tufanye hilo linawezekana kabisa kipombepombe haya na wewe unapewa taarifa ya mtu kuvamiwa unakwenda na sime na rungu lako badala ya kuripoti polisi upate escort yao!?
Dah! Hii ya leo imezidi kuwa ya moto tunaungua
Unaitwaje nikaupitie[emoji4]