Boxing heavy weight mbona Afe Ajagba hazungumzwi sana

Boxing heavy weight mbona Afe Ajagba hazungumzwi sana

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Hakuna cha Wilder, Fury, Joshua wala nani. Kwa sasa kuna mwamba m1 anaitwa Afe Ajagba. MnaNigeria huyo. Anapigana uzito wa juu. Baba! Ukimaliza round 3 wewe unabahati. Jamaa anapiga ngumi nzito. Kuna jamaa alikimbia pambano.

Mpaka sasa hajapoteza pambano lolote. Ningependa kuona mapromota wakiandaa pambano la hao wanaoitwa wa kali na huyu mwamba.

Muonekana anafanana sana ni Wilder.
 
Daah nimemchungulia yutubu hatari huyu mwamba, au hawa jamaa vibonde anaopigana nao??
Hamna cha vibonde mkuu. Dharau tu. Mwindine ambaye naona wana m under rate ni yule mwingereza Eubank anayepigana uzito wa katijuu. Ana roho mbaya huyo!😁😁😁😂😂
 
Hakuna cha Wilder, Fury, Joshua wala nani. Kwa sasa kuna mwamba m1 anaitwa Afe Ajagba. MnaNigeria huyo. Anapigana uzito wa juu. Baba! Ukimaliza round 3 wewe unabahati. Jamaa anapiga ngumi nzito. Kuna jamaa alikimbia pambano.

Mpaka sasa hajapoteza pambano lolote. Ningependa kuona mapromota wakiandaa pambano la hao wanaoitwa wa kali na huyu mwamba.

Muonekana anafanana sana ni Wilder.


Hana chochote huyo, ni hard hitter tu. Hana mbinu za Boxing, yaani bad foot work, slow speed, poor body movement, poor defense nk.
 
Huyo jamaa ni kama team ligi daraja la kwanza ikawa inafunga team zingine za daraja la kwanza 4-0 kila siku ukaiona ya maana sana kuliko team za UEFA champions league tena semi final eti kisa tu zinashinda 1-0 na wakati mwingine suluhu.
 
Hana chochote huyo, ni hard hitter tu. Hana mbinu za Boxing, yaani bad foot work, slow speed, poor body movement, poor defense nk.
Hivi fury ana skills gani haswa kumzidi Afe! Au joshua nae ana skills gabi kumzidi mwamba Afe. Kwanza wote waoga.
Wilder kidogo ndio anaonekana kuwa na skills.
Nimejaribu kuangalia pambano la fury na klistov sikuona chochote zaidi ya kugusana gusana kwa vi punch visizo na madhara.

Afe ni swala la mida tu.
 
Mtu kapigana mapambano 15 na hana taji lolote unamfananisha na wenye mapambano mengi zaidi yake na mataji? Wilder ana mapamabano 44, Fury ana 31 na Joshua ana 25. Anatakiwa apigane mapambano zaidi na wapinzani wa maana ndio ataweza kujifananisha na hao top crop kwa sasa. Halafu hawezi kupewa mapambano na hao uliowataja mapema hivi. Kuna utaratibu na rankings ambazo ni lazima apitie kabla hajapata fursa ya kupigana na hao mabingwa ili kuwania mataji ya dunia.
 
Hivi fury ana skills gani haswa kumzidi Afe! Au joshua nae ana skills gabi kumzidi mwamba Afe. Kwanza wote waoga.
Wilder kidogo ndio anaonekana kuwa na skills.
Nimejaribu kuangalia pambano la fury na klistov sikuona chochote zaidi ya kugusana gusana kwa vi punch visizo na madhara.

Afe ni swala la mida tu.


Skills make a fight.

Joshua na Afe skill set zao zinafanana, yaani wapo rigid na mascular , skower , defenceless, na power puncher.

Mohamed Ally na Tyson Fury wanafanana kiasi fulani, wao ni technical fighter, and have good skill sets.

Mike Tyson na Andy Ruiz, wao ni power puncher na speedy.

Deontay Wielder yeye ni single handed power puncher hana skills sana kama Tyson Fury.

Povetkin, na yule Samoan fighter wanafanana.

Kifupi ni kwamba Afe bado sana katika foot work, defence, speed, yeye ni very muscular na powerful, na ndio maana Kaladze alimnoki down kirahisi na kama angekuwa kapambana na mtu kama Andy Ruiz basi angalikuwa kapigwa kwa KO.
 
Back
Top Bottom