John porter
Member
- Jul 8, 2013
- 65
- 28
Acha Ubahiri Wa Kishamba, kama unaona chaki na elf mbili ni kubwa mpe mtaji mdogo wako aendelee kuuza vitumbua,ukiambiwa bia 2000/= na kiroba 1100/=.Hushangai Ila Elmu Ndo Unatafta Hadi Ushauri.
yap ni sahihi kabisa hiyo 2000/- ni kwa ajil ya hizo form na box la chak ni kwa ajil ya kuanzia muhula tena bado anatakiwa alete bunda la karatasi,jembe,ndoo ya lita 10 na slesha kama unafikir vitu hiv nigharama sana mpeleke kuleeee st.....
Acha Ubahiri Wa Kishamba, kama unaona chaki na elf mbili ni kubwa mpe mtaji mdogo wako aendelee kuuza vitumbua,ukiambiwa bia 2000/= na kiroba 1100/=.Hushangai Ila Elmu Ndo Unatafta Hadi Ushauri.
Habari zenu wana JF
Nina mdogo wangu amemaliza la saba mwaka jana.. Tunamshukuru Mungu amefaulu vizuri sana na amebahatika kuchaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza..
Utata unakuja baada ya mdogo wangu huyo kwenda kuchukua barua inayomtambulisha kuwa amefaulu.. Ndipo walimu wao wanawaambia huwezi kuchukua barua bila kuleta boxsi zima la chaki na shilingi Elfu mbili..
Je hili swala ni haki? Lipo kisheria? Au walimu wameamua kujipatia pesa ya chai kwa kuwanyonya hawa wanafunzi?
Nawasilisha..
Kaka umenena point kubwa xana, hizi shule za kata ni mali ya wananchi xaxa wewe unataka akulipie nani mwanao akaxome bure, kama hyo hela na chaki ni mali mpeleke shule za Private ili usilalame.
soma tena....