John porter
Member
- Jul 8, 2013
- 65
- 28
Habari zenu wana JF
Nina mdogo wangu amemaliza la saba mwaka jana.. Tunamshukuru Mungu amefaulu vizuri sana na amebahatika kuchaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza..
Utata unakuja baada ya mdogo wangu huyo kwenda kuchukua barua inayomtambulisha kuwa amefaulu.. Ndipo walimu wao wanawaambia huwezi kuchukua barua bila kuleta boxsi zima la chaki na shilingi Elfu mbili..
Je hili swala ni haki? Lipo kisheria? Au walimu wameamua kujipatia pesa ya chai kwa kuwanyonya hawa wanafunzi?
Nawasilisha..
Nina mdogo wangu amemaliza la saba mwaka jana.. Tunamshukuru Mungu amefaulu vizuri sana na amebahatika kuchaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza..
Utata unakuja baada ya mdogo wangu huyo kwenda kuchukua barua inayomtambulisha kuwa amefaulu.. Ndipo walimu wao wanawaambia huwezi kuchukua barua bila kuleta boxsi zima la chaki na shilingi Elfu mbili..
Je hili swala ni haki? Lipo kisheria? Au walimu wameamua kujipatia pesa ya chai kwa kuwanyonya hawa wanafunzi?
Nawasilisha..