Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe bado ipo Tz, sasa kwanini mnaidanganya dunia Tz hakuna Corona?Corona imembeba kamanda.
R.I.P marehemu.
...ni mashaka na mahangaiko...View attachment 1677687
Pamoja na kuwa Katibu wa Mkoa wa Mbeya , Brother Boyd alikuwa pia diwani wa Kata ya Forest , aliyewatumikia wananchi pamoja na chama chake kwa uaminifu mkubwa sana .
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho yake , Amina
Mwenyekiti alifunga siku tatu akiiombea corona.Corona imembeba kamanda.
R.I.P marehemu.
mkuu habari za sikuR.I.P kamanda Boyd, moja ya watu mlionifanya niwe hivi nilivyo leo.
Wewe, Mpwiniza, Mzee Swila na Sugu mlinifanya niamini katika mapambano na kuamini kila kitu kinawwzekana.
Hakika !Ana heri maana hakufa akiwa dhambini. Amefia kwenye haki. Rest well kamanda
mkuu habari za siku
Njema mkuu, kwako?mkuu habari za siku
Poleni Wafiwa Wote Kazi ya Mungu haina Makosa Atumzike kwa AmaniView attachment 1677687
Pamoja na kuwa Katibu wa Mkoa wa Mbeya , Brother Boyd alikuwa pia diwani wa Kata ya Forest , aliyewatumikia wananchi pamoja na chama chake kwa uaminifu mkubwa sana .
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho yake , Amina
Itakuwa kuna mkono wa jiweWhat went wrong!!?