lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
weka master mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe ukibadilisha hizi Dots vinakufa? Didn't know!
Yeah DOT 4 inaunguza balaa inaua rubber chapHivi kumbe ukibadilisha hizi Dots vinakufa? Didn't know!
Aftermarket haitafanya kazi kwa ufanisi ule ule by 100% na ziko prone to failure. Used za kutoka na gari huwa ukibahatisha nzuri inakuwa sawa sanaKubadili master cylinder yote complete. Okay.
Hivi kununua master mpya ya kichina (aftermarket) ina ubora?
Maana spea used/mtumba za kijapan huwa ni bahati nasibu Sana.
Zingatia sana recommended brake fluid (DOT 3/4), tatizo la master cylinder hutolisikia.Hivi kumbe ukibadilisha hizi Dots vinakufa? Didn't know!
Wengi huweka DOT 4 kwakua ndio inapatikana kwa wingi sana madukani. DOT 3 kuna kipindi ilihadimika sanaYeah DOT 4 inaunguza balaa inaua rubber chap
Mi ilishaniulia master cylinder nikabadili ila sahizi brake ipo kama haipo. So spongyWengi huweka DOT 4 kwakua ndio inapatikana kwa wingi sana madukani. DOT 3 kuna kipindi ilihadimika sana
Kama hela ipo funga master cylinder MpyaBrake fluid kuvujia onto brake booster housing... yaani kwenye makutano ya Master Cylinder na Booster panavuja mpaka rangi ya booster housing imemenyeka (booster paint peeling off) coz of such fluid leakage.
Master Cylinder iliyopo sasa iliwekwa mwaka jana November, tuliweka used ya Japan. Master iliyokuja na gari tuliiondoa baada ya kuonekana kuwa imekufa (brake pedal to sink, na brake fluid kuwa rangi nyeusi. No leakage).
N.B: Gari ni Toyota IST old model. Recommended brake fluid ni DOT 3, lakini wakati tunaweka hii master cylinder tuliswitch brake fluid to Castrol DOT 4.
Leakage ina mwezi mzima sasa tangu niinotice.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Fundi 1: Amekagua tatizo na kusema kuwa huwa kuna gasket kati ya master na booster. Anasema hiyo gasket haipo hapo, kwamba fundi aliyebadilisha master last time itakuwa alisahau kuiweka. Hivyo, kutokuwepo gasket hapo ndiyo kunasababisha brake fluid kuvujia hapo. Solution ni kuwekapo gasket ili kuzuia hiyo leakage.
Fundi 2: Anasema hakunaga gasket kati ya master na booster. Bali hiyo brake fluid leakage hapo inasababishwa na kufa kwa 'piston seal' ndani ya master cylinder. Kwamba master imeua seal. Solutions ni mbili... Either kuweka SEAL nyingine (repair kit itahusika hapa na ni nafuu kigharama) or kuweka master cylinder nyingine complete.
Fundi 3: Anasema kwamba hapo huwa kuna gasket, lakini gasket hiyo haihusiani na kuvuja kwa brake fluid. So hiyo leakage hapo ni kwasababu Master cylinder imekufa. Solution ya kuaminika ni KUWEKA MASTER CYLINDER NYINGINE tu basi.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Je, hapo tatizo/hitilafu ni nini? na solution ni ipi?
Niko mkoani (countryside) ambapo mafundi magari ni changamoto sana. Opinions zao zinakanganya!!
Wengi huweka DOT 4 kwakua ndio inapatikana kwa wingi sana madukani. DOT 3 kuna kipindi ilihadimika sana
eeh nimekuwa nikiweka Dot 3 sema master ya dukaniUlibadili master na ukaweka recommended fluid dot 3, Ila brake ipo spongy?!!
Basi hapo yawezekana na booster ilishaumia. Badili na booster.
Anakuchomesha yani hapo we katafute Dot 3 kariakoo hadi uipateHiyo ni kweli kabisa. Dot 3 imeanza kuwa adimu, hata mafundi ukimuambia akuwekee dot 3 unamuona kabisa anavyokushangaa.
Na mafundi wetu wengi hawa wa mtaani wanakwambia eti dot 3 inakuwa replaced na dot 4 bila shida yoyote.
Hizi mambo zinakanganya.