Brand gani ya jiko la gesi nzuri?

Brand gani ya jiko la gesi nzuri?

Mimi ninalo LA kioo mwaka wa pili huu halijapasuka nakushauri tafuta kampuni nzuri langu ni ardee
 
Jambia halitakusaidia mkuu if watu wamekuja na manati ya mzungu..usije ukamake hyo mistake tena...
We jamaa na wewe ni Wa Dar.. Huku kwetu Mara mama alikuwa Mikono mitupu akawateka majambazi na kuchukua silaha...
Angekuwa na panga.. Hata kuzika angezika mwenyew..
"Ntakugecha muraaa "
 
Kazi ipo, jiko linapasuka unataka kujificha uvunguni, je ungesikia mlango unabomolewa ungefanyaje? wanaume wa Dar mnachekesha sana aisee
 
Jiko jiko tu sem mm nilinunua yale wanasem ya vioo japo sikuzingatia kampuni
 
Back
Top Bottom