Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
1. BUKTA
Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta.Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uingereza inatengeneza nguo za michezo).
2. KIWI
Bidhaa hii ya kung'arishia viatu imepewa jina la mnyama aitwaye Kiwi.Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye.
Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Licha ya kuwa na bidhaa nyingi za kung'arisha viatu
3. CATERPILA
Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi. Mpaka sasa hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)
Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine
4.SHELL
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.
Petrol station ni jina linamaanisha sehemu wanapouza mafuta.
Ni sawa na kusema saloon,sokoni,machinjoni nk.
Watanzania wanaziita shell kwa sababu ndio kampuni pekee ya mwanzo iliyoanza kutoa huduma za kuuza mafuta nchini enzi ya mkoloni kabla ya brand zingine hivyo vituo vya mafuta waliviita shell na mpaka leo imezoeleka hivyo.
5. NATURAL SKIN
Kampuni ya kitanzania ilojikita kwenye kutoa ushauri wa afya ya ngozi na nywele na kutengeneza bidhaa asili za mimea ili kutunza ngozi kiasili (Natural Skin) na kuzirudisha ngozi ziloathirika na vipodozi kemikali kurudi kwenye ngozi asili (Natural skin).Mpaka Leo wengi wakifika dukani husema nataka kuwa na natural skin.
Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta.Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uingereza inatengeneza nguo za michezo).
2. KIWI
Bidhaa hii ya kung'arishia viatu imepewa jina la mnyama aitwaye Kiwi.Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye.
Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Licha ya kuwa na bidhaa nyingi za kung'arisha viatu
3. CATERPILA
Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi. Mpaka sasa hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)
Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine
4.SHELL
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.
Petrol station ni jina linamaanisha sehemu wanapouza mafuta.
Ni sawa na kusema saloon,sokoni,machinjoni nk.
Watanzania wanaziita shell kwa sababu ndio kampuni pekee ya mwanzo iliyoanza kutoa huduma za kuuza mafuta nchini enzi ya mkoloni kabla ya brand zingine hivyo vituo vya mafuta waliviita shell na mpaka leo imezoeleka hivyo.
5. NATURAL SKIN
Kampuni ya kitanzania ilojikita kwenye kutoa ushauri wa afya ya ngozi na nywele na kutengeneza bidhaa asili za mimea ili kutunza ngozi kiasili (Natural Skin) na kuzirudisha ngozi ziloathirika na vipodozi kemikali kurudi kwenye ngozi asili (Natural skin).Mpaka Leo wengi wakifika dukani husema nataka kuwa na natural skin.