Brand tano (5) zilopelekea bidhaa za kampuni nyingine kupewa jina hilo hilo tu, ya kwanza itakushtua, ya tano ya kitanzania

Brand tano (5) zilopelekea bidhaa za kampuni nyingine kupewa jina hilo hilo tu, ya kwanza itakushtua, ya tano ya kitanzania

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
1. BUKTA
Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta.Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uingereza inatengeneza nguo za michezo).

1728379776227.png


2. KIWI
1728379944520.png
1728380052590.png


Bidhaa hii ya kung'arishia viatu imepewa jina la mnyama aitwaye Kiwi.Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye.

Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Licha ya kuwa na bidhaa nyingi za kung'arisha viatu


3. CATERPILA
Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi. Mpaka sasa hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)

Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine

1728380398857.png



4.SHELL
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.
Petrol station ni jina linamaanisha sehemu wanapouza mafuta.
Ni sawa na kusema saloon,sokoni,machinjoni nk.
Watanzania wanaziita shell kwa sababu ndio kampuni pekee ya mwanzo iliyoanza kutoa huduma za kuuza mafuta nchini enzi ya mkoloni kabla ya brand zingine hivyo vituo vya mafuta waliviita shell na mpaka leo imezoeleka hivyo.


1728380808760.png


5. NATURAL SKIN
Kampuni ya kitanzania ilojikita kwenye kutoa ushauri wa afya ya ngozi na nywele na kutengeneza bidhaa asili za mimea ili kutunza ngozi kiasili (Natural Skin) na kuzirudisha ngozi ziloathirika na vipodozi kemikali kurudi kwenye ngozi asili (Natural skin).Mpaka Leo wengi wakifika dukani husema nataka kuwa na natural skin.

1728380984010.png
1728381010118.png
1728381082559.png
 
1. BUKTA
Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta.Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uingereza inatengeneza nguo za michezo).

View attachment 3118656

2. KIWI
View attachment 3118657View attachment 3118658

Bidhaa hii ya kung'arishia viatu imepewa jina la mnyama aitwaye Kiwi.Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye.

Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Licha ya kuwa na bidhaa nyingi za kung'arisha viatu


3. CATERPILA
Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi. Mpaka sasa hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)

Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine

View attachment 3118663


4.SHELL
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.
Petrol station ni jina linamaanisha sehemu wanapouza mafuta.
Ni sawa na kusema saloon,sokoni,machinjoni nk.
Watanzania wanaziita shell kwa sababu ndio kampuni pekee ya mwanzo iliyoanza kutoa huduma za kuuza mafuta nchini enzi ya mkoloni kabla ya brand zingine hivyo vituo vya mafuta waliviita shell na mpaka leo imezoeleka hivyo.


View attachment 3118665

5. NATURAL SKIN
Kampuni ya kitanzania ilojikita kwenye kutoa ushauri wa afya ya ngozi na nywele na kutengeneza bidhaa asili za mimea ili kutunza ngozi kiasili (Natural Skin) na kuzirudisha ngozi ziloathirika na vipodozi kemikali kurudi kwenye ngozi asili (Natural skin).Mpaka Leo wengi wakifika dukani husema nataka kuwa na natural skin.

View attachment 3118667View attachment 3118669View attachment 3118670
Kuna kipindi maziwa ya unga watu wakawa wanasema ni nido.
bajaj, yani pikipiki ya tairi tatu kwa tz ni bajaj haijalishi mtengenezaji ni nani.
 
1. BUKTA
Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta.Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uingereza inatengeneza nguo za michezo).

View attachment 3118656

2. KIWI
View attachment 3118657View attachment 3118658

Bidhaa hii ya kung'arishia viatu imepewa jina la mnyama aitwaye Kiwi.Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye.

Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Licha ya kuwa na bidhaa nyingi za kung'arisha viatu


3. CATERPILA
Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi. Mpaka sasa hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)

Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine

View attachment 3118663


4.SHELL
Shell,agip,total,BP ni jina la kampuni inayouza mafuta.
Petrol station ni jina linamaanisha sehemu wanapouza mafuta.
Ni sawa na kusema saloon,sokoni,machinjoni nk.
Watanzania wanaziita shell kwa sababu ndio kampuni pekee ya mwanzo iliyoanza kutoa huduma za kuuza mafuta nchini enzi ya mkoloni kabla ya brand zingine hivyo vituo vya mafuta waliviita shell na mpaka leo imezoeleka hivyo.


View attachment 3118665

5. NATURAL SKIN
Kampuni ya kitanzania ilojikita kwenye kutoa ushauri wa afya ya ngozi na nywele na kutengeneza bidhaa asili za mimea ili kutunza ngozi kiasili (Natural Skin) na kuzirudisha ngozi ziloathirika na vipodozi kemikali kurudi kwenye ngozi asili (Natural skin).Mpaka Leo wengi wakifika dukani husema nataka kuwa na natural skin.

View attachment 3118667View attachment 3118669View attachment 3118670
Unaisahau vipi BiC
 
Back
Top Bottom