Brand za mavazi kama GUCCI, CALVIN KLEIN na VERSACE watanzania hatuzijui au hazitufai?

Brand za mavazi kama GUCCI, CALVIN KLEIN na VERSACE watanzania hatuzijui au hazitufai?

Tatizo jingine ni serikali yetu kushindwa kusimamia uinguzaji wa bidhaa feki. Kuna feki nyingi zaidi ya genuine za bidhaa hizo kupelekea watu kutukuona umuhimu wa kuzishobokea.
Kingine ni hali yetu ya uchumi majority ni duni, hizo ni expensive products ndio maana feki ni nyingi.
Unajua Uganda wana nguo og kutushinda sisi na mbwembwe zetu.
 
Hizo Brand bei yake ni kubwa sana ingawa ni designer wazuri. Ukileta Tanzania utavaa mwenyewe. Mara nyingi tunaangalia bei zaidi ya quality ndio maana biashara hizo hutakaa huzione Tanzania
Hahaaaa wakuvaa wapo aseeee.
 
Calvin Klein (CK) na Van Bastern nimevaa wakati mdogo. Enzi zile chupi ni VIP, ndala ni Jombo na mafuta ni shanti!!! Kipindi maarufu cha comedy kilikuwa cha Mzee Jangala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weee napenda Gucci Balaa
2b8015970c9732bc930a8dd6a6edd3d1.jpg
 
Sisi tunavaaa Copy za Hzo Brand na zinapatikana China hapo hela yako tu kupata Original ni bei Air Jordan 13 original inauzwa dola $ 200 sasa nani atanunua wakat Kariakoo naipata kwa 60,000 tu
 
Unavaa vitenge aina gani?
Vyovyote tu! Mradi kishonwe vizuri, nilivaa sana hayo madude ni very expensive, na black Americans ndiyo ugonjwa wao! Ndiyo maana hiyo pesa kuliko kumpa Versace ni heri nikaifanyie kitu cha maana! Assets and Liabilities counts in my life!
 
Unajua Uganda wana nguo og kutushinda sisi na mbwembwe zetu.

Hii nchi imeoza sana... ndio maana huwezi ona maduka makubwa ya nguo ya brand kama hizo ambayo yako nchi nyingine. Serikali/ au taasisi husika sijui kwa kujua au kutojua wameruhusu kabis fake products kwenye soko letu. Leo nenda kariakoo, kabisa dukani unaambiwa kuna fake na genuine chagua bei? unajiuliza how come fake iko dukani? utajuaje sasa kama unachoambiwa genuine ndio fake nyingine?
Vinapitia wapi hivi vitu?
 
Hii nchi imeoza sana... ndio maana huwezi ona maduka makubwa ya nguo ya brand kama hizo ambayo yako nchi nyingine. Serikali/ au taasisi husika sijui kwa kujua au kutojua wameruhusu kabis fake products kwenye soko letu. Leo nenda kariakoo, kabisa dukani unaambiwa kuna fake na genuine chagua bei? unajiuliza how come fake iko dukani? utajuaje sasa kama unachoambiwa genuine ndio fake nyingine?
Vinapitia wapi hivi vitu?
Lengo la kuvaa ni kujistiri tu, iwe feki iwe original, hakuna madhara yoyote ya kimwili mtu anaweza kupata kwa kuvaa nguo feki, ukisema ziletwe original tupu, sisi hohe hahe tujistiri na nini?
 
Lengo la kuvaa ni kujistiri tu, iwe feki iwe original, hakuna madhara yoyote ya kimwili mtu anaweza kupata kwa kuvaa nguo feki, ukisema ziletwe original tupu, sisi hohe hahe tujistiri na nini?

Uko nje ya mada mkuu... soma vizuri majibu yangu kwa mada husika na wewe unachoongea.
 
Wakuu Salaam.
Hizo brand hapo juu wana mavazi mengi sana kuanzia viatu, suruali, saa , underwear, kofia na kadhalika , cha ajabu kwa Africa ukitoa Nigeria, south africa, Uganda, egypt maeneo mengi ikiwapo Tanzania naona watu hawajishughulishi na mavazi ya hao jamaa sijui kwa nini?
nimehamia kwa wabembe, mwendo wa kitenge tu
 
Hivi hapa bongo hamna duka ambalo unaweza pata products genuine za hizo brand?
 
Kuna sneaker za yeez za adidas,bei kama $250,ila kariakoo unapata kwa 15000 tu..hawa wachina sio wa mchezo kabisa
 
Back
Top Bottom