Brand za mavazi kama GUCCI, CALVIN KLEIN na VERSACE watanzania hatuzijui au hazitufai?

Brand za mavazi kama GUCCI, CALVIN KLEIN na VERSACE watanzania hatuzijui au hazitufai?

hand bag ya gucci 100,000
under wear 50000 top &chupi
magauni mpaka 50000

wakati chupi za3000 zipo
handbag mpaka25000
magauni mpaka15000 yapo
ntakachotoka mfupa wa mgongo kisa?
Mk/kklein gucci

wamatopeni watupishe[emoji23]
 
Miye nikikuta T-shirt au shati Mark & Spencer mtumbani siliachi.
 
hand bag ya gucci 100,000
under wear 50000 top &chupi
magauni mpaka 50000

wakati chupi za3000 zipo
handbag mpaka25000
magauni mpaka15000 yapo
ntakachotoka mfupa wa mgongo kisa?
Mk/kklein gucci

wamatopeni watupishe[emoji23]
Aisee nakupa Louis Vuitton hand bag buree[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Calvin Klein (CK) na Van Bastern nimevaa wakati mdogo. Enzi zile chupi ni VIP, ndala ni Jombo na mafuta ni shanti!!! Kipindi maarufu cha comedy kilikuwa cha Mzee Jangala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha mbali, wakati tupo boarding school, siku za mchacho ndiyo wale wenye shanti tuliwaona wa maana, ukitoka kuoga unapiga hodi lakini yalikuwa yanaharibu sana shati la shule.
 
Back
Top Bottom