Brands za biashara/products zilizofeli hapa Tanzania

Brands za biashara/products zilizofeli hapa Tanzania

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hello

Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana

1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water

Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?
 
Hello

Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana

1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water

Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?
Liiootklkkhhtg
 
Hello

Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana

1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water

Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?
 
soda aina ya vimto,radio cassette, zile jinsi pana za q 50,tsh it za Ronaldo delima.
 
Back
Top Bottom