okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Hello
Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana
1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water
Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?
Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana
1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water
Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?