Bravo nao wamebebwa?

Bravo nao wamebebwa?

Kwani hujui kama mchezo wa kubet unachezwa na wengi ikiwemo makocha, marefa na wachezaji? Trend ya matukio ilikuwa inaonesha wazi kuwa Constantine ndiye atakayeshinda mchezo..... na kitendo cha kupindua meza kibabe magoli mawili refa akaona mkeka unatiki huu. Ilivyoingia goli kwa Bravo kumemchanganya ikabidi asikilizie.....

Ni sawa sawa na refa aliyechezesha mechi ya Simba... Kaona move ya goli kwa Simba na Che Melon kaishaachwa akapuliza filimbi ya faulo badala ya kuacha advantage. Che Melon ni mtu wa mwisho na amefanya faulo ya makusudi kuzuia mpinzani kufunga lakini kampa njano badala ya Red.

Dakika zimeongezwa 7 na bahati nzuri ndani ya zile dakika 7 hakuna mchezaji wa CS Sfaxien aliyedondoka wala wa Simba, mpira muda wote langoni mwa CS Sfaxien tu hakuna kumpumzika, lakini refa zinafika dakika 8 yeye anachezesha tu na hata dalili ya kuangalia saa hana, aliibetia Simba yule.
Dakika huwa ni za wote lakini kwenye mpira yule anayenufaika na sare au ushindi, anatamani mpira uishe chap tu.
Mnao uzoefu wa kwenda kushitaki CAS na kuandamana kwenda kushitaki Ikulu kwa mama . Nadhani huu ni muda sahihi kwenu sasa kufanya hivyo.
 
Eti hakukua na ucheleweshwaji wa mpira!!!

Goli kips wao kalala mara ngapi?

Wachezaji wao wametolewa na machela mara ngapi tena wakiwa hawajaumia.!!!!

Mnataka kutufanya wengine hatuna macho tunaangalia mpira Kwa makalio sio?
Nashauri FIFA walete Sheria mchezaji akijifanya kaumia akabebwa na machela atulizwe nje kwa dakika zisizopungua 2 kisha ndio aruhusiwe kuingia.
 
Ingekuwa kuna hesabu minimum na maximum kwenye dakika za nyongeza mngelalamika kule Morocco kuwa mwamuzi kawaonea? Likiwakuta nyie mwamuzi kawaonea ila likiwa favor nyie mnasema kuna minimum na maximum kwenye dakika za nyongeza.
Waliolalamika pia huko Morocco walilalamika kwa ushabiki tu.Hakuna official complaint.Tofautisha timu ikialamika na mashabiki kama wewe wakilalamika.
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Furaha ya ushindi inawafanya wasione hilo.
 
Kama baada ya dk hizo Simba wangefungwa ungekuwa na ujasiri wa kuandika kuwa CS Faxien wamebebwa? dk zilizoongezwa ni kwa ajili ya Simba tu?
Mpira ni mchezo wa malengo. Kuna mechi Simba nae atatamani mpira uishie maana malengo yake yametimia tayari. Hawachezi tu.
 
Tumia akili kufikilia. Umepewa na mfano hapo juu na memba mmoja kuwa kuna mechi imeongezwa dakika 4 zingine baada ya dakika za nyongeza. Na hapo unasemaje?
Kwanini hili swali mnalikwepa? Baada ya kuongezwa dakika 7 palitokea tukio lolote la kupoteza muda?
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Na ile yellow ilitakiwa kuwa red card kwa ukuta wa yerico.
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Hizo dakika mbili unazozilalamikia hata wao walikuwa wanatafuta goli, walipopoteza mpira ikapigwa counter attack, pass ndefu ikamkuta Kibu D mkandaji akaweka chuma.
 
Ni scenario mbili tofauti mzee,
Mechi ya Bravo, zimeongezwa dakika 4 na Bravo wakapata goli ndani ya hizo dakika 4 za nyongeza. Goli lilifungwa dakika 3 na sekunde zake hivyo dakika 4 inaingia tayari Bravo wanagoli. Kitendo cha refarii kupeleka mpira hadi dakika ya 7 anayeona hatendewi haki ni Bravo ila Constantine wao wanatamani zifike hata dakika 10 ili mradi wasawazishe.

Mechi ya Simba, kuna dakika 2+ zilizoongezeka hadi goli kufungwa
Kwa hiyo refa aliongeza dakika mbili ili Simba wafunge?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa Washabiki wa CS Sfaxien wa hapa nchini ambao hawajui sheria za mpira kwamba ni lazima mpira uchezwe dk zote 90.Na pia hajui kuwa dk zinazoongezwa huwa ni kwa timu zote mbili.Simba pia wamewahi kufungwa goli na Wydad dk ya 95 wakati dk zilizoongezwa zilikuwa 4.Tazama mechi kati ya Bravo vs Constatine, dk zilizoobgezwa ni 4 lakini mpira umechezwa hadi dk ya 8
Kama dakika zinaongezwa halafu pia zinachezewa vibaya lazima muda uongezwe kufidia unaopotezwa
 
Sio tu Muda ulizidishwa bila sababu na kwa Mazingira ya Rushwa lakini Refa Ali uinamisha uwanja kwa Muda mrefu.
Chem alone akiwa Last Man anamshika mtu alistahili red card, wageni wakichezewa faul refa anapeta Mwenyeji akijiangusha refa anatoa faul.

Waarabu walivumilia kupita kiasi ila Refa Ali lazimisha apigwe.

Refa aliye chezesha JKT Tanzania na Pamba hakua na tofauti yoyote na aliye chezesha Jana.
Ni aibu kwa marefa wa aina hii, Refa ndiye aliye sababisha taharuki na vurugu za Mashabiki kurushiana viti majukwaani.
 
Kama baada ya dk hizo Simba wangefungwa ungekuwa na ujasiri wa kuandika kuwa CS Faxien wamebebwa? dk zilizoongezwa ni kwa ajili ya Simba tu?
Nakujibu hapa hapa.
Mpira ni mchezo uliojikita kwenye muda, wachezaji na waalimu wao hutumia nguvu na akili kubwa kupanga mikakati yao kwa kuzingatia muda. Hakuna namna mwamuzi akachezesha nje ya muda bila kuathiri timu husika.

Timu inayosaka matokeo positive huku ikiwa nyuma hutamani muda wa kucheza usiishe na timu iliyo mbele kwa matokeo positivie hutamani muda uishe wakati wowote Sasa kwa kuwa refa hayuko upande wowote, usahihi wa kumaliza mchezo katika muda sahihi ni jambo muhimu na lazima kwake. Tofauti na hivyo atakuwa anapendelea upande fulani.

Wale waarabu hawakuwa na haja yoyote ya muda kuongezwa hata sekunde moja, Simba tulikuwa na sababu zote za haja ya muda kuongezwa hata sekunde moja.

Swali linarudi pale pale, kama muda wa nyongeza ulikuwa ni Dakika 7 tu, sasa baada ya dakika 7 kwisha, mbali na akili ya mwamuzi, nani alijua mchezo utaendelea kwa muda gani zaidi?
 
Taja tukio lolote lililopoteza muda baada kuongezwa zile dakika 7
Law of game inasema
The fourth official indicates the minimum additional time decided by the
referee at the end of the final minute of each half. The additional time may be
increased by the referee but not reduced.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Kwanini hili swali mnalikwepa? Baada ya kuongezwa dakika 7 palitokea tukio lolote la kupoteza muda?
Tatizo lako ni uelewa.Dakika 7 ni minimum kwenye kuongeza.Maximum ni kufuata stopwatch ya Refa.
Just curious unalalama kwani Utopolo mechi mlicheza nyinyi?Au mmegeuka VAR ya mawakili wa kujitolea?
 
Nakujibu hapa hapa.
Mpira ni mchezo uliojikita kwenye muda, wachezaji na waalimu wao hutumia nguvu na akili kubwa kupanga mikakati yao kwa kuzingatia muda. Hakuna namna mwamuzi akachezesha nje ya muda bila kuathiri timu husika.

Timu inayosaka matokeo positive huku ikiwa nyuma hutamani muda wa kucheza usiishe na timu iliyo mbele kwa matokeo positivie hutamani muda uishe wakati wowote Sasa kwa kuwa refa hayuko upande wowote, usahihi wa kumaliza mchezo katika muda sahihi ni jambo muhimu na lazima kwake. Tofauti na hivyo atakuwa anapendelea upande fulani.

Wale waarabu hawakuwa na haja yoyote ya muda kuongezwa hata sekunde moja, Simba tulikuwa na sababu zote za haja ya muda kuongezwa hata sekunde moja.

Swali linarudi pale pale, kama muda wa nyongeza ulikuwa ni Dakika 7 tu, sasa baada ya dakika 7 kwisha, mbali na akili ya mwamuzi, nani alijua mchezo utaendelea kwa muda gani zaidi?
Nani kakuambia muda wa nyongeza ulikuwa dakika 7 TU?Hiyo TU unaitoa wapi?Jifunze law of the game inasemaje kuhusu added minutes in each half.Kuongelea usichokijua ni ujuha.
 
Nakujibu hapa hapa.
Mpira ni mchezo uliojikita kwenye muda, wachezaji na waalimu wao hutumia nguvu na akili kubwa kupanga mikakati yao kwa kuzingatia muda. Hakuna namna mwamuzi akachezesha nje ya muda bila kuathiri timu husika.

Timu inayosaka matokeo positive huku ikiwa nyuma hutamani muda wa kucheza usiishe na timu iliyo mbele kwa matokeo positivie hutamani muda uishe wakati wowote Sasa kwa kuwa refa hayuko upande wowote, usahihi wa kumaliza mchezo katika muda sahihi ni jambo muhimu na lazima kwake. Tofauti na hivyo atakuwa anapendelea upande fulani.

Wale waarabu hawakuwa na haja yoyote ya muda kuongezwa hata sekunde moja, Simba tulikuwa na sababu zote za haja ya muda kuongezwa hata sekunde moja.

Swali linarudi pale pale, kama muda wa nyongeza ulikuwa ni Dakika 7 tu, sasa baada ya dakika 7 kwisha, mbali na akili ya mwamuzi, nani alijua mchezo utaendelea kwa muda gani zaidi?
Aliyesema muda ni dk 7 ni nani? unajua sheria ya FIFA inayohusiana na muda inasemaje? je refa aliivunja? unatoa maoni kwa kuzingatia sheria husika au ni mapenzi yako tu. Unajua kuwa hizo dakika ni minimum na sheria imempa refa mamlaka ya kuongeza muda kadiri aonavyo inafaa? Tazama sheria hii hapa chini inavyosema halafu useme refa ameivunja vipi?Ukizingatia kuwa post hii inazungumzia sheria husika
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-095927.png
    Screenshot_20241216-095927.png
    668 KB · Views: 2
Tatizo lugha wengi wanakurupuka bila kujua sheria ya added minutes inafanyaje kazi.
 
Sio tu Muda ulizidishwa bila sababu na kwa Mazingira ya Rushwa lakini Refa Ali uinamisha uwanja kwa Muda mrefu.
Chem alone akiwa Last Man anamshika mtu alistahili red card, wageni wakichezewa faul refa anapeta Mwenyeji akijiangusha refa anatoa faul.

Waarabu walivumilia kupita kiasi ila Refa Ali lazimisha apigwe.

Refa aliye chezesha JKT Tanzania na Pamba hakua na tofauti yoyote na aliye chezesha Jana.
Ni aibu kwa marefa wa aina hii, Refa ndiye aliye sababisha taharuki na vurugu za Mashabiki kurushiana viti majukwaani.
Acheni siasa kwenye mpira kama refa alifanya makosa kuna vyombo vinavyohusika kutoa adhabu iwapo itaonekana alivulunda mchezo.nyinyi mnatembea na hisia zetu na mnaacha kwenda na uhalisia ndo maana mpira wetu Tz haujui sababu ya hisia zenu za Uyanga na usimba.Ni aibu.
 
Yaani walivyokuwa wanajiangusha hovyo haukuona hadi unaongea hivo?

Bora uache kushabikia na kuangalia mpira kwa hali hiyo.
Usichange mambo, rudia kusoma.
Issue kubwa inayozungumziwa hapa, ni nini kilimzuia refa kumaliza mpira baada ya dakika saba za kufidia mchezo kumalizika?
Refa alipanga mchezo uchezwe dakika ngapi?
 
Back
Top Bottom