Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Swali langu ni waliomfanyia hvo wametarget kitu gan kwenye uchaguz ambacho Gwajima anacho? Ninachoamin ni kuwa hyo ni live Gwajima alifanya uzinzi, kama ni ujasusi basi yule binti alitumiwa na mabaharia, but kiuhalisia jamaa alitongoza na demu akakubali akaenda kumla ila bahati mbaya demu alikuwa na mission zingine nyuma ya pazia....
Ni kama tu samson na delila , Majamaa walijua mdau anapenda wanawake, wakamtumia chambo akakimeza, Gwajima naye anapenda wanawake naye alitumiwa chambo akakimeza....no editing wala uchawi, kila mmoja hukamatika kwa tamaa zake, in short wamempiga pabaya sana jamaa, na inawezekana wanazo zingine wanasubir ajifarague saana ndo warelease tena
Anataka kugombea Ubunge kati ya Kawe au Kinondoni