Braza wangu na familia yake leo wamerudi tena kanisa katoliki kutoka ufufuo na uzima.



Anataka kugombea Ubunge kati ya Kawe au Kinondoni
 
Tatizo mlikimbilia ku conclude bila kusikia upande wa pili, binafsi niliwaza mtu mjanja kama Gwaji boy inakuwaje kanaswa kizembe namna ile, ila baada ya ile press yake, bashite katoka bila tena, bahati mbaya hakuna jambo lake analolianzisha na akafanikiwa, naweza kusema huyu jamaa harakati zake niza pimbi kwasababu hajawahi kufanikiwa kamwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…