Braza wangu na familia yake leo wamerudi tena kanisa katoliki kutoka ufufuo na uzima.

Braza wangu na familia yake leo wamerudi tena kanisa katoliki kutoka ufufuo na uzima.

Hawa ndugu zangu walihamia mazima kanisa la ufufuo na uzima linalomilikiwa na gwajima tena waliondoka kwa kuliponda na kulidharau kanisa katoliki.

Leo wamerejea kanisa katoliki la mitume mara baada ya vidio ya ya ngono uzembe mchungaji wao kuvuja.
Mhu! Sidhani kama wana imani imara! Ukisali kwa kufuata imani ya mchungaji, sheikh, padri, askofu, kardinali, papa umekwisha. Jenga imani yako kwa mafundisho ya Mungu na mengine yote utayashinda maana skendo ziko kila sehemu.
 
Porn star Gwajima ndio habari ya sasa. Kibamia kilikuwa kinapwelepwetwa.
Hana kibamia nimeona kwa macho yangu,
Afu unaambiwa mpaka sasa ndio mwanaume Africa anaeweza game kisawasawa. Hana mpinzani mpaka sasa
 
Ndiyo maana niliamua kurudi RC huko kwenye hayo makanisa sijui ya uokovu hakufai kabisa....,.eheeee huo ndiyo ukweli mchungu
 
Watahama hama kama wakimbizi hadi lini, ifike hatua watu wajue kua Mungu yupo ila dini zoooooote ni ujinga mtupu!
 
Wanaume wote pigeni marufuku hawa wakezenu wanao hangaika makanisa ya matapeli mara uku mara kule wataliwa sana na hao ma fake pastors
 
Ww hujui ujasusi ni nini kwa hiyo wakati mwingine unakaa kimya kwa kitu usichokijua.


Unakuta mtu hajuai ila anajiona anajua. Sasa huo siyo ujinga tu, bali ni upumbavu.

Mfano, ukimwambia mtu yule mchungaji ile ajali ni ujasusi bado anakubishia. Yaani mtu haelewi na hajui kwamba mtu unaweza kumalizwa kwa zengwe la aina yake ila kama huna akili za udadisi utaona ni ajali, au kajirekodi
 
Jiwe na Bashite wamemmaliza mazima Gwajima,ogopa kitu kinaitwa ujasusi.
Bashite asingeweza msamehe gwajima kirahisi namna ile.
Kiujumla Gwajima hana tena uhalali wa kusimama madhbahuni na kukemea uzinzi.
Watu wamemtegeshea msichana mrembo na amenasa mazima.
Ogopa honey trap.
 
Back
Top Bottom