technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
UfaransaNaiona kabisa Brazil Au Algentina wakichukua kombe la dunia.
Kwa sababu moja tu timu nyingi za ulaya uwa hazina bahati Sana zinapocheza kombe la dunia nje ya ulaya.
Ukindoa iyo hoja mwaka huu brazil Wana kikosi kinacho karibia kile Cha mwaka 2002 ingawa sio kwa asilimia kubwa.
Pia Algentina ana kikosi Cha wapambanaji Kama kile Cha Maradona Cha mwaka 1986.
Pia ukienda na hii record ya 1998 na 2018 ufaransa.
2002 na 2022 inaweza kuwa brazil wakiwa na bahati mwaka huu ni wao.
Mwaka huu moto utawaka ila natabiri Kati ya Brazil au Algentina mmoja atachukua kombe la dunia 2022.
Malizia tu, kombe linaenda kwa Malkia.Mimi ninakuambia kombe linarudi Ulaya.
It is not going to happenMalizia tu, kombe linaenda kwa Malkia.
Tumempoteza Malkia, tutajifariji kwa taji.
It's coming home
Hao Brazil, Argentina ni wazuri huko huko kwao.Hao hata Netherland na England zitawatoa jasho. Oops nilisahau Serbia na Portugal.
Tuliwahi pata nafasi ya kufika mbali, mtoboa sikio mmoja akampa kipa penaltyNatamani timu za Afrika zifike mbali aise, hii kusindikiza ni bora usishiriki sasa.
[emoji28][emoji23]Mbuzi Kala Mbwa.
Tayari Mkuu, Kati ya timu ambazo hata Robo fainali sikuzifikiria ni hii.[emoji28][emoji23]
Dossary kaua mtu [emoji38] [emoji23]