Brazil Kwao Olivieira wanaujua Mpira ila Argentina Kwao Gamondi wanauelewa na wanaucheza hasa Mpira

Brazil Kwao Olivieira wanaujua Mpira ila Argentina Kwao Gamondi wanauelewa na wanaucheza hasa Mpira

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mpira wa Kibrazili unakupa Matokeo japo kwa kila mara Kumuomba Mungu, ila baada ya Mechi unalazimika kutafuta Panadol Extra na Dawa za Kushusha Presha ili Unywe.

Mpira wa Argentina tangu unaanza tu unakupa Raha Kuutizama, husikii Njaa, huhisi Pepo wa Ukichaa Kukupanda, Maji na Juice vinashuka, Ushindi unauona mapema mno, baada ya Mechi husikii Kuchoka na Kukimbilia Chooni kutoa Haja Kubwa ( Kuukweka ), Sura haiwi na Usununu ( Hasira ) na unakufanya uamue idadi ya Goli za Kumfunga Mpinzani zisizoanzia na Goli 4 au 2 bali ni juu ya hapo.

Ukisomea nchini Venezuela ni raha.
 
Mpira wa Kibrazili unakupa Matokeo japo kwa kila mara Kumuomba Mungu, ila baada ya Mechi unalazimika kutafuta Panadol Extra na Dawa za Kushusha Presha ili Unywe.

Mpira wa Argentina tangu unaanza tu unakupa Raha Kuutizama, husikii Njaa, huhisi Pepo wa Ukichaa Kukupanda, Maji na Juice vinashuka, Ushindi unauona mapema mno, baada ya Mechi husikii Kuchoka na Kukimbilia Chooni kutoa Haja Kubwa ( Kuukweka ), Sura haiwi na Usununu ( Hasira ) na unakufanya uamue idadi ya Goli za Kumfunga Mpinzani zisizoanzia na Goli 4 au 2 bali ni juu ya hapo.

Ukisomea nchini Venezuela ni raha.
Aahaaaaaa
 
Jamiiforum kuna mambo sana, title imebeba ujumbe mkubwa kuliko habari yenyewe...hayo yanatokea kwa bahati mbaya au makusudi.
Homeboy unaniangusha sasa.
 
Back
Top Bottom