Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.
Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!
Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu
ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.
Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!
Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu
ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.