PlanckScale
JF-Expert Member
- Sep 28, 2008
- 550
- 169
....wabongo bana...watu wa vitu kidogo...mtu hajashinda imekua breaking news duh!...akirudi mpelekeni bungeni pia...ama ikulu akapewe mkono na mkulu...LOL...tunaporidhika na vitu vidogo kamwe vikubwa itakuwa ndoto kuvipata...tuwaige wakenya....tuko nao jirani....tunafanana kimaumbile...hali ya hewa kwao kama kwetu...mbona wao wanaongoza kwa bara la Africa???....tusipojiuliza na kupata majibu...na kuyafanyia kazi tutabaki kuwa wasindikizaji...huku tukijisifu....
Wewe vipi? Au uko ugaibuni umesahau uTanzania wako?
Kua wa 5 is a big deal. Lini ulisha wahi kuona bendera ya Tanzania kwenye bango la Olimpiks?