Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika

Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1724131173869.png

Mabaki ya Ndege ya Voepass baada ya ajali

1724131270144.png

Ndege ya Voepass kabla ya ajali

Video iliorushwa na TV GloboNews umeonyesha eneo kubwa likiwa kwenye moto na moshi ukionekana kupanda kutoka kwenye kitu kinachoonekana kuwa fuselaji ya ndege.

Video kwenye mitandao ya kijamii ilionyesha ndege ikianguka kwa kasi kuelekea ardhini. Idara ya zimamoto ya eneo hilo ilithibitisha kuwa ndege hiyo ilianguka katika mji wa Vinhedo.

Watu 62 waliokuwa kwenye ndege ya Voepass walijumuisha wafanyakazi wa ndege. Voepass imesema bado haina taarifa juu ya iwapo kuna vifo au majeruhi.

Soma Pia: Malaysia: Watu takribani 10 wafariki baada ya ndege kuanguka kwenye barabara kuu
---

A passenger plane carrying 62 people has crashed in Sao Paulo, Brazil.

Footage broadcast by TV GloboNews showed a large area on fire and smoke appearing to billow from an apparent plane fuselage.

Video on social media showed an aircraft falling at speed towards the ground.

The local firefighters corps confirmed that the plane fell in the city of Vinhedo.

The 62 people on board the Voepass flight included crew members.

Voepass said it does not yet have an update on whether there have been fatalities or injuries.
 
NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.

Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.

“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.

Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.

Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.

1723265329449.jpg
 
...Ilianguka kwenye makazi ..... je hamna madhara kwenye eneo la makazi ya watu?
 
NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.

Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.

“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.

Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.

Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.

View attachment 3065790
Pole Dana Chief kWa msiba
 
Tandika watu hufa kwa malaria, Nanjilinji watu hufa kwa utapiamlo , Dodoma watu hufa kwa TB, Mwanza watu hufa kwa ini. Kwa siku watu wengi Tanzania wanakufa.
Hii idadi ya watu 61 ni ndogo sana.
Ni heri niwaombee mafukara wa Tanzania wapate mwanga waepukane na vifo vinavyoepukika
 
Back
Top Bottom