Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika

Brazil: Ndege yanye abiria 62 yapata ajali mjini Sao Paulo, hakuna aliyenusurika

Hii si ndiyo design ya hizi za Precision Tanzania
  1. Kuna moja ilipasuka tyres ikitua Arusha
  2. Ilitua KIA tyre ya mbele iligoma kutoka ikasotea kidevu
  3. Ilizimika injini ikiwa inaelekea kutua KIA
  4. Ili ditch lake Victoria
 
Hii number iko wapi siku hizi
1723269710524.png
 
Natamani kama Mungu kapanga kifo changu basi kiwe kwa ajali ya ndege. Sipendi kifo cha mateso ya magonjwa au ajali itakayonimeza taratibu..

Nataka ghafla bin vuup, roho imenitoka.

Hakuna cha mateso makali huku unasubiri kifo.
 
NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.

Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.

“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.

Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.

Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.

View attachment 3065790
Tahadhari video zinatisha



Inahuzunisha. Inaonekana abiria walikufa kwa presha hata kabla haijatua na kulipuka. Lakin walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. God have mercy on their souls.

JF top aviation expert

ngenya Ncha Kali
 
Ili flat spin so mtu kuokoka kwenye ajali ya namna hii huwa ni ndogo
 
Natamani kama Mungu kapanga kifo changu basi kiwe kwa ajali ya ndege. Sipendi kifo cha mateso ya magonjwa au ajali itakayonimeza taratibu..

Nataka ghafla bin vuup, roho imenitoka.

Hakuna cha mateso makali huku unasubiri kifo.
Oya hayo ma cassena single engines mnayotoka nayo Ottawa hadi manitoba kumfanyia figisu Justin Tradiue siku moja
 
NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.

Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.

“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.

Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.

Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.

View attachment 3065790
Tunaomba majina ya abiria na makabila yao.
 
... at the moment abiria wanapogundua wako ajalini sijui psychologically wanakuwa katika hali gani! The hardest and saddest moment in life!
 
Back
Top Bottom