Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tahadhari video zinatishaNDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.
Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.
“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.
Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.
Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.
View attachment 3065790
Oya hayo ma cassena single engines mnayotoka nayo Ottawa hadi manitoba kumfanyia figisu Justin Tradiue siku mojaNatamani kama Mungu kapanga kifo changu basi kiwe kwa ajali ya ndege. Sipendi kifo cha mateso ya magonjwa au ajali itakayonimeza taratibu..
Nataka ghafla bin vuup, roho imenitoka.
Hakuna cha mateso makali huku unasubiri kifo.
Huyo ni tissHii number iko wapi siku hizi
View attachment 3065875
Madhara sio lazima vifo hata uharibifu wa mazingira/nyumba/mimeaaa ......Soma habari mpaka mwisho, mbona imefafanuliwa? Tusikimbilie kuchangia kabla ya kusoma!
Tunaomba majina ya abiria na makabila yao.NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na kupelekea vifo vya watu wote 61 waliokwemo kwenye ndege hiyo aina ya aina ya ATR-72.
Ndege hiyo iliondoka Cascavel katika Jimbo la Parana Nchini Brazil ikielekea Sao Paulo ambapo ilipoteza mawasiliano ikiwa angani na kuanguka kwenye makazi ya Watu na kisha kulipuka.
“Kampuni inasikitika kufahamisha umma kwamba watu wote 61 waliokuwa kwenye ndege nambari 2283 wamekufa katika eneo la tukio," Voepass imesema katika taarifa yake kwa umma ikirekebisha idadi ya vifo tofauti na ilivyoripitiwa awali kwamba waliofariki ni 62.
Mamlaka zimesema pamoja na kwamba Ndege hiyo ilianguka kwenye makazi ya Watu, hakuna yeyote aliyejeruhiwa au kufariki kati yao isipokuwa waliofariki ni wote waliokuwemo kwenye Ndege pekee.
Hili ni janga la sita kwa ubaya zaidi la anga katika historia ya anga ya Brazil na mbaya zaidi tangu ajali ya 2009 ya ndege kutoka Rio de Janeiro hadi Paris ambayo ilitumbukia katika Bahari ya Atlantiki, na kuua watu wote 228.
View attachment 3065790
Utakuta huyo ni sunni mpuuze. Imaam Hussein Ibn Ali A.S foreverSoma habari mpaka mwisho, mbona imefafanuliwa? Tusikimbilie kuchangia kabla ya kusoma!
Hakika Mungu ampe Kheri za Duniani na Firdausi Imaam wetu Hussein.Utakuta huyo ni sunni mpuuze. Imaam Hussein Ibn Ali A.S forever
Drc na Malaysia unawaweka wapiBrazil inaw3za ikawa inaongoza kwa ajali za ndege...
Hakika,maana dunia yenyewe haieleweki hiiBora wao wakapumzike
Drc na Malaysia unawaweka wapi
Hatari SanaTahadhari video zinatisha
View attachment 3065897
View attachment 3065899
Inahuzunisha. Inaonekana abiria walikufa kwa presha hata kabla haijatua na kulipuka. Lakin walipangiwa watakufa hivyo pindi tu walipozaliwa. God have mercy on their souls.
JF top aviation expert
negligence unawacost sana ....ukiona hii ndege ilivyokuwa inadondoka ni kama engine failureHuwa najiuliza wats wrong with brazil katika hii aviation undustry.kila mara ajali kwao
Mkuu yani inatisha na kuhuzunisha.... at the moment abiria wanapogundua wako ajalini sijui psychologically wanakuwa katika hali gani! The hardest and saddest moment in life!