Tunaangalia mpira tofauti! Tanzania 1 Brazil 0
Waangalizia kupitia wapiTunaangalia mpira tofauti! Tanzania 1 Brazil 0
Aisee sijachapwa bana..amechapwa JK na Stars yake
Brazil wakicheza hivi hawafiki popote World Cup..
Why the stadium is empty?
kampeni ya JF kutaka watu wasiende kuangalia mechi imefanya kazi lol ukitoa kiingilio kikubwa lol.Why the stadium is empty?
Alafu huyu dogo namba 7 ni nani ?Maana naona anapiga mpira vizuri sana
Alafu huyu dogo namba 7 ni nani ?Maana naona anapiga mpira vizuri sana