Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata wa Dar anaweza kuwa kwao ni Mbeya, kwani ulimuuliza?hakuwa wa Mbeya hiyo kitu nilitoka nayo Dar nilienda nayo Mbeya kikazi
Pia kuna kademu kamoja hivi vya dot com nilikatongoza kaka kanakataa kananiona mkubwa sijui nn sasa kuna siku nikakaomba tutoke lunch (kwa mujibu wake kalipanga kuja rasmi kunipiga kibuti) sasa siku hiyo nikakapeleka sehemu hiyo ya uswazi uswazi jamaa wanachoma nyamapori ya hatari basi tukakaa sehemu nikawa nakalisha msosi baada ya hapo nikakapeleka dukani kakachague chu.pi basi kakajichagulie pale za kama elfu 80 nilipokarudisha kesho yake nikala mzigo. Kakaniambia akajawahi kukutana na m/ume aliyompa treatment kama zile maishani mwake na mie nilichukulia simple tu. Mpk leo nasuuza rungu nikikahitajiSio kwa treatment hiyo chief hata mimi nisingechomoa ukiniita. Kuna vitu vidogo mnavifanyaga jamani vinatufanya tuwapende hata kama hatukutaka kuwapenda labda tulifuata hela tu..
Zamani kule kwetu tulikuwa tunaambiwa mwiko kulia chakura kitandani. Siwezi.
kwao sio mbeya[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata wa Dar anaweza kuwa kwao ni Mbeya, kwani ulimuuliza?
Una mbinu sanaPia kuna kademu kamoja hivi vya dot com nilikatongoza kaka kanakataa kananiona mkubwa sijui nn sasa kuna siku nikakaomba tutoke lunch (kwa mujibu wake kalipanga kuja rasmi kunipiga kibuti) sasa siku hiyo nikakapeleka sehemu hiyo ya uswazi uswazi jamaa wanachoma nyamapori ya hatari basi tukakaa sehemu nikawa nakalisha msosi baada ya hapo nikakapeleka dukani kakachague chu.pi basi kakajichagulie pale za kama elfu 80 nilipokarudisha kesho yake nikala mzigo. Kakaniambia akajawahi kukutana na m/ume aliyompa treatment kama zile maishani mwake na mie nilichukulia simple tu. Mpk leo nasuuza rungu nikikahitaji
At your Best![emoji6]Mimi nikikualika ghetto misosi ni juu yangu, kazi yako ni kula tu. Hata vyombo ukiona shida naosha mwenyewe.
Tatizo la ungo hauna square vikombe havitakaa!!Bebea tu hata kwenye "ungo"😀😀😀
Blushing huh?
Lost for words....
Kazi kwako mkuu RRONDOBlushing huh?
It's a compliment don't feel embarrassed.
Nasubiri mwaliko...
HahahaHii penati ngoja tusubirie VAR..
HahahaYatafute kabla mtu chake hajakusaidia...
Kwa siku ya kwanza naweza ,ila siku zingine nitasahau tu
Hizi accuracy zitawapeleka pabaya.Hii penati ngoja tusubirie VAR..