Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Ndiyo vinini hivyo sasa...kwenye maisha yangu ya kila siku haviwezekani. Yaani huyo mwanamke wa kuletewa chakula kitandani anaumwa! au mwanaume wa kuketewa chai kitandani amekakamaa mwili au vipi!Kwanini?
Kupika najua tena saana tu...ila siwezi kufanyaHujui kupika?
Nipo tofauti na mapenzi ya hivi.Kwa mbali naona hili jibu liko kinyume