Hiyo siipotezei huyo Don si namzuga tuu.Naona unaipotezea ile ya Bali middle of December this year[emoji37]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo siipotezei huyo Don si namzuga tuu.Naona unaipotezea ile ya Bali middle of December this year[emoji37]
Mnaanza kukimbizana muhudumu, shuka plzz...bahati mbaya
Nishabook everything usije nichomesha mahindiHiyo siipotezei huyo Don si namzuga tuu.
Tena uchungu ule uchugu kabiasaNahisi mama yake analia kila siku akiona mwanae anachofanyiwa
Wakizaa mtoto atakua zwazwaYaani hapo wamekutana chizi na tahira...
Hahaha hahaha hahaha
Dada naona unapiga miguu yote..Hiyo siipotezei huyo Don si namzuga tuu.
Naona unaipotezea ile ya Bali middle of December this year[emoji37]
Hommie...hii inahitaji watoto wa kishua haswa.Hii inatuhusu na sisi tunaoishi kwenye chumba kimoja?
Mkuu ni shida sana.Aisee hiv kabisaa na bi mkubwa wake anapita mtandaoni anaona mwanae anafanywa hv haki Mungu anaumwa uchungu upyaaa
Ila wewe sishangai kabila lenu hamjui kupetipetiMtori ukimwagikia kunako bed je? [emoji24]
Kuna siku nimewaona wameenda ukweni mbonaNahisi mama yake analia kila siku akiona mwanae anachofanyiwa
Mimi na weweKisoda na chupa yake[emoji23]
Yaani kunakofaatia hyu mama akiishiwa hela bas huyu Dogo atakuwa shoga maana hajazoea kufanya kazi ngumu
[emoji33][emoji33][emoji33]
Heee....Umesahau kale kaugonjwa kamapenzi katakufanya usitake kuamka kitandani. ....hapo ndipo utaipenda chai kitandani. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kule kazi kazi tu... Wakiona hivi wanaita mchungaji kufanya maombi.Ila wewe sishangai kabila lenu hamjui kupetipeti
Hahahahhahaha. Kweli kabisa. Ukizingatia ana umri mdogo sana dogoYaani kunakofaatia hyu mama akiishiwa hela bas huyu Dogo atakuwa shoga maana hajazoea kufanya kazi ngumu
Utanawa wewe maana ndio utanilisha....Heee....
nikishakupatia hivi utasubiri nikunawishi pia eeeh! hadi naona aibu.
May be they are up to something.Kuna siku nimewaona wameenda ukweni mbona
Hahahahhahaha mwendo wa kuwapanga tuu. Hapo tarehe tuu ndiyo zitapishanaDada naona unapiga miguu yote..