Breakfast in Bed....

Breakfast in Bed....

Hili linachangia kiasi kidogo mkuu lakin kwangu halina nafsi sikubahatika kuishi na baba na mama nikiwa na akili zangu timamu, baba kavuta mie bwamdogo mnoo, mama nae hakuniletea baba mwingine mpaka utu uzima wangu, ila haya ni mambo ya kujiongeza katika kuitafuta hasa ile raha ya mapenzi,

Hivi mkuu unajisikiaje pale unapompelekea mtu moto, mwenzako anafika mahala husika, jibu moja kwa moja huwa kuna raha unaipata kwa kumuona umemfikisha mwenzio kunako, basi ni kitu kile kile huwa najisikia raha kumfanyia mwenzi wangu mambo mazuri yanayomfurahisha bila kunikarahisha mie.
Hahaha kwa hiyo sie ni sawa na wanasheria wasioji-update sheria mpya wanabaki na zilezile za 1977.

Hili linipite bwana. kama ni kutuchukulia wenza wetu wabebeni tu.
 
Kweli Dunia inabadilika na kila kitu sio teknolojia tu Mapenzi na mengineo.

basi Nina u-conservative fulani...acha nibakie kwenye huu uzi nijifunze.
Unaweza kuwa hufanyi hivi ila unafanya vitu vingine romantic.
 
Kama mmekutana wote ni wacheshi na mna utani mwingi usio kuwa na maudhi inawezekana kabisa ukamuhudia kwa aina hiyo hata zaidi ya hivyo
 
Ndiyo vinini hivyo sasa...kwenye maisha yangu ya kila siku haviwezekani. Yaani huyo mwanamke wa kuletewa chakula kitandani anaumwa! au mwanaume wa kuketewa chai kitandani amekakamaa mwili au vipi! Kupika najua tena saana tu...ila siwezi kufanya
Nipo tofauti na mapenzi ya hivi.
haha uncle acha hizo, eti amekakamaa
 
Wanaamka wanaoga wanaswaki kisha maigizo yanaanza au wanakula hawajaoga hawajaswaki? Samahani kwa ushamba.
 
Back
Top Bottom