Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae wa wapi?Sababu ipo kwa mfumo wa swali.
Kwanini nikuletee chakula kitandani labda unaumwa kama mama alivyokuwa ananifanyia..
Mimi hizi mambo ni hobby... Treat her like a lady bwanaNataka niwaone mnaoweza, nijichagulie.....
Karibuni sana
Sio swala la kuuliza hili Mzigua90.Jingaaa. Kwahiyo unamlisha ng'ombe majani ili umkamue vizuri eeh
Me nawezaNataka niwaone mnaoweza, nijichagulie.....
Karibuni sana
HAKUNA MWANAUME ASIYEWEZA KUFANYA HIVYO,Tatizo linakuja baada ya kufanya,WENGI WA AKINA DADA NDIO CHANZO CHA SISI KUSHINDWA KUWAFANYIA HIVYO,.HUANZA KUJIONA AMEKUTAWALA.SASA MADUME MENGINE HAYAPENDAGI KUONEKANA WAKO CHINI YA UTAWALA WA WADADA.TIRIRIKENI MNAOPINGAWangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Na mimi naonaNawahi mwendokasi
Wanaume wa JF tushawazoea lakini. Kila kitu hamfanyagi ila nje ya hapo ndo mabingwa wa kufanyaMimi siwezi ! And i don't expect to live such a life.
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Hahahahahaa.. mna mbinuSio swala la kuuliza hili Mzigua90.
It's teeth and nail system [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Mi siwezi hata kujitengenezea mwenyewe...Kama unaweza kujitengenezea mwenyewe unashindwa vipi kuongeza extra za mpenzi?
Hahahahaa.. hata mara moja kweli hamjawahi fanyiana?Siku nikifanya hivi, mwenzangu atazimia, na mimi akinifanyia hivi, najiandaa kupigwa mzinga![emoji23]
Mara moja moja mfanyie bibiMi siwezi hata kujitengenezea mwenyewe...
Dah. Ndugu sijakuona mda sana sana.Mimi hizi mambo ni hobby... Treat her like a lady bwana
Ntampeleka hoteliniMara moja moja mfanyie bibi